tgindex
HADITHI ZA MAPENZI❤️💋

HADITHI ZA MAPENZI❤️💋

Статистика
Последний пост
3 янв.
Последнее чтение
13 авг.
Постов за неделю
0
Всего постов
20
Тип
открытый
Язык
und
В каталоге с
13 авг.
Подписчики
3 749
−63 за 5 дн.
Сутки
−13
−0,35%
Неделя
 
Месяц
 
Просмотров на пост
938
20 постов
Вовлечённость
25,0%
к подписчикам
Постов в день
0,0
всего 20
Упоминаний
0
каналов
Охват размещения
оценка
1/24сутки в ленте
1/48двое суток
1/72трое суток

Оценка по просмотрам недавних постов: пост набирает почти всё за первые сутки.

Посты

  • 3 янв.3 1547

    akaanza kupiga vigeregere mimi bikra🤣 ni aibu nyumban nzima ikajua nimefanya maana sio Kwa vigeregere vile, mama akaenda kuchemsha maji jikoni Kisha akaja kunikanda kidogo ndo maumivu yakatulia alivyomaliza akatoka akamwambia mwanae aingie sasa maan alikuwa njee anasubiri tumalize, ye mwenyw anashangaa anaingia akanikuta nishaanza hadi kutembea ila nachechemea Kwa mbali. Akaniambia aaah mke wangu kumbe we ulikuwa mali safi , nikamwambia ulidhanije mimi malaya Sanaa au akasema hamna nimesema tu alafu Leo ujiandane natoka na wewe mke wangu umenifurahisha Jana, nikamwambia sawa ntakusubiri saa ngap akasem saa kumi kumi hivi nikamwambia saw, basi akajiandaa akaondoka zake Itaendelea..................

  • 3 янв.2 94531

    nilikuwa period akauliza ushamaliza nikamwambia ndio Leo ndo nimemaliza. Akanipa wazi lake ingawa ni lakiupuuzi😂 ananiambia nimpe eti nikamuitikia tuu sawa ila cdhni, uyu shoga angu anavyojua kunikatisha tamaaa ananiambia ngoja uachike we ringa tuu alafu Iv lini ulienda chuo nikawambia sikuiz naona uvivu toka majuz sijaenda akabaki anacheka sawa binti bembeleza ndoa iyo😂. Itaendelea………….. SEHEMU YA 15 Usiku ukafika nikaenda kuandaa chakula tukalaa ila yeye alikuwa hajarudi, ikanibidi sasa nikae kumsubuli nimekaa macho adi saa 5 nikasinzia saa saba usiku nikaamshwa ndo alikuwa anarudi Lamarck akaniamsha nikamuandalia chakula akasema ameshiba, yan uyu mwanaume kwaku kususa sijui hata anashida gan nikamwambia sawa akasema naenda kulala nimekuamsha na wewe ukalale nikamwambia sawa. Tumetoka pale sebleni akanipeleka chumbani kwetu akachukua nguo baadhi Kisha akaniacha akaamia chumba cha mbele alicholala usiku uliopita, nikawaza pale maana nimeachwa mwenyw kama mchawi nikawaza nikakumbuka ushauri wa Laira nikawaza kwanini nisiufanyie kazi ushauri wake nikavua nguo nikavaaa night dress yangu ilikuwa nikafupi alafu inauchora mwili nikaenda chumba alicho Lamarck, nikaingia ila sikumkuta nikaskia chooni maji yanamwagika nikajua tuu anaoga, kwaiyo nikajiongeaa kama mtoto wakike nikavua nguo zote na Mimi Kisha nikaingia bafuni. Lamarck alikuwa hajaniona maaan alikuwa kageukia ukutani nilivyofika nikamshika mgongo akageuka nyuma tukaangalia sasa ni aibu kwangu yeye mwenzangu haoni aibu alafu alikuwa kama analia maana macho mekundu kabla hajaongea kitu nikajikuta fundi nikamkiss mdomoni, na hapo kumbuka tupo uchi uchi wote wawili, nilivyomkiss nikaacha tukawa tunaangaliana mara y pili yeye ndo akanikiss uku ananipapasa Kwa kama dakika tano, Kisha tukaoga kidogo tu ila uvumilivu ukamshindaa akanibeba akaniwekea kitandani tulivyofika kitandani akaanza kufanya kama asubuhi ananichezea maziwa. Yan Hapo anacheza na maziwa tuu huku juu ila nilikuwa nahisi kutekenywa uku chini. Akaninyonya maziwa wee baada ya kumaliza akashuka chini sasa weeee nilitamani kulia maaan mambo ni bulbul, yan ukiskia mwanaume ni mwanaume kwel anayaweza mambo yan nilihisi kutekenywa, na nilikuwa napiga makelele uyo kwa raha zetu na hamna ata aliekuwa anamwambia mwenzie apunguze sauti, ngoma ikivuma Sanaa hupasuka mwishoe ndo mimi sasa nilicheka sana mwanzoni, ila baada ya mambo kuendelea kwanz ye mwenyw akauliza mbona haiingi mke nikamwambia mme mimi bikra, nisamehe mke sikujua ningekuandaa vizur zaid ila wewe uliniambiaga sio bikra nikawa hata kujibu siwezi kwa jinsi maumivu yalikuwa makari . Huyu mwanaume Hana huruma kabisa mwenzie namwambia naumia akiendeleee, ila yeye ndo kwanza anapump tena Kwa nguvu, Laira kaniponza mwenzie😭, nililia Hadi nikawa nasema unataka kuniua we mwanaume mshenz mkubwa wewe yan nilitukana Kila aina y matusi ila wapi mtu haniachii natena akaanza kutubu anasema yan nilianza kukupenda toka muda mimi ndo ata sikuile ulivyokuwa darasani unapresent sijui nini nilikuangalia sana ulivyokuwa unakaribia kugundua Kam kuna mtu anakuangalia nikajificha, baada ya kuongea upuuzi wake mwingi akaja kuniachia baadae baaada ya kilio cha muda mrefu sana. Nilichukia uyo kwanz macho yalivimba akawa ananiomba msamaha, wakati Mimi ndo nilimkosea alishinda anaomba msamaha hadi kunakucha, asubuhi nikawa nainuka nikaandae chai ila wapi kuinuka naskia maumivu, nikawa nazidi kulia Lamarck alikuwa anaoga akatoka kuja kuniangalia anauliza Kwan nini mke nikamwambia yan anakuwa na nguvu kabisa ya kuniuliza shida nini wakati amenichana kabisa uku chini, yan nililia akaniuliza nifanye nini ili unisamehe nikamwambia kaniitie mama anisaidie. Najua kabisa hawezi kuongea na mamaake ila nikamwambia afanye hivo ili waongee hata kidogo, akaniangalia Kisha akasema sawa ngoja niende, na kwel baada ya dakika tano akaja na mama, mama akauliza shida nini nimeambiwa unaumwa, yan ilijinga limeniacha nijieleze mwenyw siangemwambia alichokifanya, nikamwambia mama mwanao kanichana uku, mama alishangaa akaniuliza wewe kwana hamjawai kufanya tangu muone nikamwambia ndio,

  • 3 янв.1 8382

    ukutani ila alikuwa bado mzima kabisa, Lamarck ndo akakutia hapo ugomvi akamchukua alivyompeleka hospitali akafariki ukouko na wakati anakufa alikuwa karibu na Lamarck sasa sijui hata alimwambia nini Lamarck maana toka siku iyo Lamarck hajawai kuongea na mimi tena na ilianzia hapohapo hospitali namuuliza Lamarck Hali ya mgonjwa ipoje sikuwa najua kama amefariki akanijibu kashakufa kama ulivyotaka nenda sasa ukamle nyama mchawi mkubwa wewe, Yale maneno yaliniuma sana nisikatae mwanangu yan niliskia kama yameenda kuuchoma moyo yangu ila yeye alikuwa hata hajali. Ndo toka siku hiyo mimi na Lamarck hatujawai kupatana na mpaka sasaivi tunamiaka 7 hatujaongea vizuri maaan ilikuwa tangu Lamarck anamiaka 30 mpaka sasahivi anamiaka 37 hatujawai kuongea kwa raha. Itaendelea.................. SEHEMU YA 14 Nikamuuliza sasa mama ulishindwa hata kumuelewesha Lamarck, akasema mwanangu nataman hata sasa hivi kama angenipa nafasi ya kuongea nae, nikamwambia mama usijali nitaongea nae mama akasema hapana mwanangu usije ukaharibu ndoa yako kwasababu yangu we achana na haya maugomvi siku akijiskia ataniongelesha tu ila Mimi kinachoniuma ni jinsi wanangu wakiume ambavyo hawapatani kisa yule mke wa kwanz wa Lamarck. Aaaaah ndo nikakumbuka hata siku Ile ambayo tulienda kanisani na Lamarck tulivamiwa na kakaake na akataka kumua. Mama akasema tuachane na izo mada enheee niambie vipi mlikutana wapi na mwanangu. Nikataka nimwambie ukwel ila nikakumbuka nilivyoambiwa na Lamarck kuwa nisimuamini uyu mama, kwaiyo nikamdanganya nikamwambia nilikutania na Lamarck beach ndo huko tunapendana mpaka leo tumeoana, yule mama alifurahi sana akasema bora mwanangu sasahivi karudi tna kweny mapenzi maaan Toka mke wake alivyofarikigi hajawai leta mwanamke mwengine nyumbani zaidi yako wewe na kaaamua akuoe kabisa, yan mama angejua Mimi ndo niliomba kuolewa asingeongea😂. Akaniuliza mkwe unamiaka mingapi maaana nakuona nikadogo dogo, nikamwambia kwel mimi ni mdogo hasahasa Kwa Lamarck maana Nina miaka 21, eeeeh kwaiyo Lamarck kakupita miaka 16 nikamwambia ndio. Mmmh kwel mapenzi si umri. Ila mwanangu Mimi ningekuomba tuu usije ukaja kumkosea Lamarck maaan nimpole ila akikasirika anamaamuzi magumu sana, nikamwambia mama usijali sasa kwanini nimkere mume wangu, sasa hili swali la mwisho ndo balaa mama ananiuliza vip mjukuu lini sasa, embu kwanza nicheke😂😂 mambo ya wajukuu wakati watu ndo kwanz tumeanza leo na maziwa😂. Ikanibidi nimpe moyo nikamwambia badobado kidogo tu asijali😂😂. Akaniambia sasa hili ndo swali la mwisho hivi ni kwel unampenda mwanangu nikamwambia sasa mama kama ningekuwa simpendi kwanini nikubali anioe, akasema nakusikiliza wewe mkwe kama humpendi sema tu. Nikamwambia hamna kitu kama icho akasema basi kheri nimefurahi kukutana na kuongea na wewe leo wewe ni mke bora sanaaa twende basi nyumbani uyo mumeo asije akakukosa akakasirika Bure. Tukapanda gari, kufika nyumbani nikaliona gari la Lamarck lipo kumaanisha kuwa amesharudi, kwa kiasi nilikuwa naogopa maana niliambiwa nisiongee sana na mamamkwe nikafika seblen nawakut wale mwewe wamekaa yan mimi siwapendi, mama nae akaenda chumbni kwake. Nimeenda chumbani nikamkuta Lamarck kakaa nikamsalimia shkamoo mume wangu na sio kawaida yangu kusalimia hata hakuitikia akaniuliza tuu ulikuwa wapi na kwanini ujaag na kwanini uondoke na mama. Yan nimepigwa maswali matatu Kwa mpigo Yan sijui nijibu lipi Wala niliache lipi nikamwambia mume wangu najua nimekosea kutoka bila kusema ila naomba unisamehe mama alikuwa hajiskiii vzr nikamtoa kabla sijamaliza akaniuliza tena nilikwambiaje kuhusu yeye. Nikaanza kujing'atang'ata nisijue chakujibu, alivyoona simjibu akabeba simu Kisha akatoka njee. Nikawa naogopa sana vipi kama akinikasirikia tena itakuwaje ndoa hata mwezi haina, nikampigia Laira nikamwambia kilichotokea yeye akanipa wazo kwanini nisimbembeleze mume nikamwambia nishambembeleza akauliza nilifanyaje kweny kumbembeleza kwako nikamwambia ukwel sijafanya kitu, akaniambia we mtoto chizi eeeh hata kulala nae hujawai nikamwambia ndio akasema we unaitaji maombi unashida gan hadi ulali nae nikamwambia

  • 3 янв.1 0581

    Nika wachukia wale mawifi maaan wao wenywe nuksi tupu ndo nini kumsema mama yao hivyo, hata kama amesababisha kifo cha mtu ndo wamseme hivo, najua Mimi mwenyw nimeshangaa nilivyosikia ila hatakama nikawauliza hivi nyie ndo nini kumsema mama hivi huyu Nancy kiroporopo akajibu we nawe kahaba vipi nikamuangalia nikamwambia we mtoto wewe naomba unikome umeniskia kwanz unajua Kam upo kwangu hapa eeeeh nakuuliza unajua kama upo kwangu akajibu kwako wapi kwanz kakaangu sijui hata anaokota wapi watu kama nyie. Nikamwambia kampe uyo kakaako kama ninavyompa alafu atakwambia anatoa wapi watu Kam sie mshenz wewe mama hakuamini kama nimemtetea ingawa nimeskia kuhusu kitu kibaya alichowai kufanya, nikamshika mkono mama kisha nikapanda nae kumpeleka chumba alichofikia. Tumefika tu mule chumbani akaanza kulia maskini, hadi huruma yan analia kile kilio cha kwikwi kabisa Mimi sijawai kuwa na mama kwaiyo nikiona mtu anamzazi Kam huyu alafu anamtendea mambo mabaya au anaemjibu hovyo huwa naumia sana hata ndo maaan nimemtetea mamamkwe kwasababu sasahivi yeye ndo mamaangu mpya yan alilia sana mamamkwe Itaendelea……………… SEHEMU YA 13 Baada ya kama dakika 15 mama akanyamaza nikawa naongea nae namwambia aachane nao ao wanae hawana akili asiwe anasikiliza mimaneno yao maaan ukibishana na chizi utajipa kazi tena Kazi kubwa sana. Mama akaishia kucheka tuu nikamwambia huoni ukicheka unakuwa kam kabinti kamiaka 17 jaman embu endelea kucheka basi, akawa anacheka uyo kama sio yeye aliekuwa analia. Mama akainama Kwa muda nikamuuliza mama shida nini akasema mwanangu Kwan wewe hutaki kujua kilichotokea mpaka sielewani na wanangu, nikamwambia tuu ukwel kuwa nataka tena sana tuu kujua kuna nini mpaka haelewni nao ila kwasasa hivi namjali yeye kwanza. Ili kumtoa kweny mood mbaya nikamwambia mama kwanini tusitoke out mimi na wewe twende sehemu nzuri yenyew utulivu Kisha ndo tuongee, mama akakubali nikamuacha ajiandae na mimi nikaenda chumbani kwangu kuvaaa, nilivyomaliza nikamfata mama kumuita ili tuondoke. Wakati tunawapita ao vishori hapo sebleni eti Nancy anauliza sasa we mwanamke wa kaka ukiondoka Nan atatupikia nikamwambia mimi mwenywe sijui kwanini msikae njaa. Yule mfanya kazi mwenyw hawapendi akaanza kuwacheka ila kichinichini maaan wakisikia na walivyo na hila wale. Hata sikuwajali wale mijitu mizima hovyo isiyojielewa kutwa kuongea upuuzi nikamchukua mama tukaondoka, tukaenda kweny mgahawa ambao sio wa familia Yao tusije tukasikilizwa mazungumzo yetu bure maaan hii familia hawakawiii Kila sehemu Kuna wapelelezi wao. Tukafika kweny mgahawa mzuri uo nikaagizia chakula mama akaniuliza ela unazo nikamwambia nimechukua Kadi ya Lamarck alinipa niwe nanunulia vitu mama akasema usitumie iyo Kadi atajua tulipo nakamuuliza sasa ela ya kula akasema yeye anayo, tukala tulivyomaliza sasa ndo tukaanza kuongea. Mama akawa ananiambia ujue nini mwanangu kweny maisha maneno ya kuambiwa na watu sikuzote usikurupuke we changanya na yako kwanza laasivyo utakuwa ni mtu wa kugombana na watu Kila siku wewe, Lamarck alishawai kuoa na naisi alikwambia hilo nikamwambia hakuniambia ila mimi mwenyw najua najua akasema basi vyema kama unajua, uyo mke wake aliemuoa alikuwa ni mzur sana mwanzoni kama hivi wewe ananijali anaheshima baadae akaja kubadilika ghafla tuu anatoka out Hadi usiku na marafiki zake akawa anakunywa na pombe nyumban Lamarck akiwa hayupo sasa nikawa namuelekeza kwauzuri tuu, yeye anaenda kusema Kwa Lamarck kama kutuchonganisha flan hiv kwakuwa lamarck alikuwa anaempenda sana akawa hata mimi anisikilizi tena. Kuna kipindi nikaamua kumuacha tuu atajijua mwenyw na mke wake ila uvumilivu ulikuja kunishinda baada ya siku moja kumfumania uyo mke wake akiwa kalala na mwanangu wa kwanz yan kaka ake lamarck anaitwa Ganderson siku iyo ndo uvumilivu ukanishinda, Ganderson alivyoona nimewafumania akaondoka akaniacha mimi na mke wa Lamarck yule mwanamke mshenz sana alitaka kuniua ili nisiseme Kwa Lamarck alikuwa kachukua kisu kwanz akanichoma mkononi na alama bado ninayo mpaka leo, mara ya pili akataka kunichoma kifuani nikamsukuma bahati mbaya akajigonga kichwa

  • 11 - - - - - - 15 *UPENDO WA GANGSTER NA MWANAFUNZI WA CHUO* xxxxxx__xxxxxx__xxxxxx SEHEMU YA 11 Mama akauliza vipi mtoto yupo wap, nikauliza mtoto gani tena akaniambia mume wako😳 kwaiyo mume wangu ni mtoto akasema we hujafundisha wewe mume wako ni mtoto wako wa kwanza kabla ya wengine kuja, nikamwambia ngoja nikamuite alikuwa chumbani akasema sawa nikaenda chumba alicholala Lamarck nikamkuta Bado kalala namuuliza we Lamarck sinimekuit uje kula akasema nyie kuleni Mimi Sina njaa sasahivi. Nikamuangalia Bado ana hasira nikamfata palepale kitandani alikuwa kakaa ila kanyoosha mguu pale kitandani nikaenda nikamkalia kwenye miguu uku namuangalia usoni eti anajifanya kuangalia pembeni ila aka katoto kangu kanaringa. Ingawa sikuwa nimemaliza siku zangu ila nikaona ngoja nicheze nae mume, sianajifanya kuangalia pembeni nikamvulia shati nililokuwa nimevaa, ye mwenyw bila kushikwa na mtu akaniangalia akaanza kunishika shika maziwa mara anyonye, kale kafeeling kake👌 nikamwambia Kwa upole sasa babe twende basi tukale mama anasubri akasema sawa subiri kidogo mpenzi namalizia. Sasa unamalizia 😳akaniambia we subr kidogo Kuna muda akakamaa uku kanikombatia Kisha akasema sawa ngoja nikaoge ila twende tukaoga wote nikakataa kwasababu bado nipo period nikamwambia we nenda tu, akaoga nikamsubr alivyomaliza tukaondoka chini tumefika tunakuta watu washakunywa chai na wamekaa wanaangalia tv tukajua tunasubiriwa sisi tu. Hadi aibu mama akasema naona mmeenda kuamsha na mengine uko😂. Hadi aibu ila mume wangu uyu, anamwambia mamaake kawaida nilikuwa nazimua tu, nikampiga mkofi Yan anaongea vile mbele ya dada zake haoni aibu, akaniambia aaaaah mke unaona aibu tena jamna Kwan sikweli au niseme ukwel tulichofany, wifi Nancy akaropoka sema tu bro maaan sidhan hata kama ulimkuta na bikra uyo, kakaake alimkata jicho ilo la mwanaukomee hadi akajishtukia. Nilivyoona maneno yanazidi kuwa mengi nikampeleka mume wangu meza ya chakula nikamuandalia chai kwanza anywe, mama akasogea pale tulipo akaniuliza mkwe Kuna usalama kwel kati yenu nikamwambia ndio kwanini umeuliza akasema hapan nimeuliza tu sio vibaya au sio mwanangu mwanae akamjibu ndio. Ila Kuna kitu niligundua kati Lamarck na mamaake hawana mahusiano mazuri nikama vile watu ambao wameshawau kugombana vile ata wakati Lamarck anajibu hakuwa alimuangalia usoni kabisa Yani. Itaendelea .............. SEHEMU YA 12 Lamarck alivyomaliza kula akatoka pale sebleni Kisha akaniita na Mimi akaniambia niwe makini hatakama ni familia yake nisijiachie Sanaa, Kwa kwel nilishangaa Lamarck alivyosema hivyo ila sikutilia maanani sanaa akaniambia pia anatoka atarudia jioni au usiku sana nikamjibu sawa usijali ila kuwa makini akanikiss Kisha akasema asante kwa Leo😂 alinifanya nione aibu na confidence yote ikapotea nikawa naangalia chini maana ni aibu jaman nasijui ata nilifikiria Nini mpaka nikafanya vile sijui ndo mapenzi. Alivyonikiss akaondoka zake. Nikabaki sasa na wakwe, yule mama anaonekana ni mpole sana na hana shida hata sasa kwanini yeye na mwanae hawapo sawa nikawa nipo zangu kimya mara wifi Tedy akaniuliza we vp mbona hulali chumba kimoja na mme wako, nikakataa nikamwambia mbona nalala nae akasema we embu usitudanganye we siumelala mule yeye kalal chumba hicho apo au. Ila nyie uyu dada anagubu au kwasababu ndo ndugu wa mume yan ananiongelesha vibaya hadi anakera. Hadi mama akamwambia Kwan we mtoto vipi kalala wapi wewe inakuhusu Nini ata angelala chooni wewe sio kazi yako fanya yaliyokuleta huna hata aibu au unataka wewe ndo uolewe na kakaako au Nancy akaingilia ugomvi akaropoka anamwambia mama yao ndo maaan Lamarck mwenyw hakupend sababu we ndo ulisababisha mke wake wa kwanza afariki, yule mama alishtuka alivyosikia vile na naona alishtuka kwasababu hakutaka nijue ila mwanae ndo kashropoka, mama akanigeukia mimi tukawa tunaangaliana.

  • "Usiseme chochote tena. Tafadhali mpenzi". Kendrick akasisitiza. Leon akacheka kwa dharau. Yaani ni kama vile alikuwa akitazama vituko vya watu fulani hivi. "Usimzuie! Muache aongee. Muache atoe yake ya moyoni. Muache. Nawapenda sana wanawake wenye ujasiri wa kusimama na kutoa sauti kubwa mbele ya wanaume. Kiukweli nimeipenda sana hii, mpaka napata wakati mgumu wa kutambua ni yupi mwanaume ndani ya hii nyumba". Leon akarudi kukaa kwenye kiti na kuwataka wote wakae kama ilivyokuwa awali. "Kaeni tuendelee kula". Akasema kwa utaratibu kama hakukuwa na kitu kilichotokea kabla. Vera alimtazama Kendrick, akamuona Kendrick akitii na kukaa kama alivyoambiwa na Leon. Lakini Vera alijisikia vibaya, akaanza kuondoka kuelekea chumbani. Kabla Vera hajaufikia mlango, alisikia sauti za vyombo vilivyokuwa vikianguka sakafuni. Na alipogeuka aliona namna Leon alivyokuwa akifanya vituko vya kumwaga na kutupa kila kilichopo juu ya meza. Kendrick aliishia kumtazama bila kuongea chochote. "Usijali. Gina atanunua vipya". Leon akamtazama Vera na kumuambia. Kisha akachomoa mawani yake na kuvaa. "Kwaherini. Asanteni kwa mualiko wenu lakini nasikitika kusema ya kuwa, hakuna chochote kilicho nifurahisha. Kwa mapenzi yake mwenyezi Mungu, tutakutana siku ya harusi. Na Kendrick nitakupatia zawadi ya flashi yenye ile video ya kwenye swimming pool. Hauwezi kuamini!!! Bado naitunza mpaka leo hii". Leon akaanza kupiga hatua na kuondoka. Alipofika mlangoni akabamiza mlango kwa kuufunga kwa nguvu, kisha akatoka nje. Vera alishindwa kujizuia. Akamtazama Kendrick kwa hasira na kisha kukimbilia chumbani huku akilia. Kendrick machozi yalimtoka kama maji. Dharau alizofanyiwa na Leon zilivuka mipaka. Kila alipokumbuka maneno machafu na vitendo vya fedheha alivyotenda Leon mbele ya mke wake mtarajiwa, alizidi kuumia. Aliishia kulia kiume akiwa ameketi palepale kwenye meza ya chakula. Kendrick alilia kimya kimya kama kondoo. Reaction 150 chapu tuanze na story nyingine mwanzo hadi mwisho, reactions zikitimia ndipo nitakuja hapa tena. Jinsi ya kuweka reaction, kandamiza simulizi kisha chaguwa emoji yeyote uipendayo

  • "Aaah sina uhakika sana, ila utakapokula ndio utaniambia kama ni kitamu ama la". "Good! I like your confidence". Leon akamuambia Vera, tena akiwa anamtazama kwa macho fulani ya undani. Leon alimtazama Vera kuanzia juu mpaka chini, kisha Leon akasimama wima, "sawa! Twendeni mezani". Vera akaanza kuandaa meza na kupanga kila kitu kwenye muonekano mzuri. Kama alivyoambiwa na Kendrick kuhusu matunda, Vera aliandaa bakuli lililo na matunda ya kutosha. Na macho ya Leon yakavutia na bakuli lile. Alipenda namna ya uandaaji wa matunda aliyokuwa ameyaandaa Vera. Wala hakugusa chochote zaidi ya kula matunda pekee. Muda wote huo Kendrick alikuwa kimya, hakusema chochote na ni wazi alijaa woga kuanzia moyoni hadi machoni. Hata Vera alipokuwa akimsemesha, Kendrick aliishia kujibu kwa ufupi. Leon alikula matunda kwa utulivu huku akitafakari jambo. Ndani ya moyo wake kulikuwa na dukuduku ambalo lilimtesa sana. Leon aliumia baada ya kuona Kendrick akiishi maisha mazuri kuliko yeye maana tayari Kendrick alikua na nyumba yake ambayo anaimiliki kihalali. Leon akatazama mazingira ya mule ndani, sio siri kulivutia. Vera alijua kuipamba nyumba na kuwa kwenye muonekano wa kijanja. "Kwaiyo Gina ndio kakununulia hii nyumba pamoja na fenicha zote hizi si ndiyo?". Leon akamuuliza Kendrick. Wakati huo Leon aliacha kula matunda na kubaki akiwa ameshika uma mkononi. Kendrick baada ya kuulizwa swali lile akamtazama Leon, kisha akatazama chini (hakuwa na ujasiri wa kumtazama Leon kwa muda mrefu). Baada ya kumtazama aliyaona mabadiliko kwa Leon. Alijua Leon alikuwa amekasirika, na pindi anapokasirika basi hakuna wa kuzizuia hasira zake. Hata hivyo swali hilo la Leon jibu lilikuwa wazi, yaani Leon mwenyewe alikuwa na jibu la swali lake. "NIMEULIZA HIVI! HII NYUMBA NA KILA KILICHOMO NI GINA NDIYE AMEKUPATIA?". Leon akamuuliza tena Kendrick. Safari hiyo aliuliza kwa ukali huku akigonga uma kwenye meza. Alisema kwa jazba na kuweka msisitizo kwenye swali lake. Kendrick alishtuka!!! Na si Kendrick pekee, hata Vera alishtuka pia. Namna Leon alivyogonga meza kuliwashtua wote wawili. "Aaah! Ni kweli..... Madam ametupatia hii nyumba mimi na huyu mwenzangu kama zawadi baada ya kutangaza uchumba wetu. Alitupatia baraka zake, na akaahidi kunipa sapoti mpaka siku ya harusi". Kendrick akajibu. Tena akiwa anatetemeka. Alijibu huku akitazama chini. Leon akacheka kicheko cha hasira kilichojaa dharau, "unaona! Wakati mimi napambana usiku na mchana kufanya kazi kubwa kwenye kampuni, naumiza kichwa ili biashara yetu isonge mbele kwani lazima utumie akili nyingi. Lakini huku nyuma wenzangu wanapongezana na kufuja pesa ambazo mimi naumia na kuvuja jasho. Huyo Gina hana kazi wala mradi wowote wa kumuingizia kipato. Anachofanya yeye ni kula, kufanya shopping, kuvaa mavazi ya gharama na vito vya thamani. Tena kazi yake kubwa ni kunichukia mimi ambaye ndiye namuwezesha yeye kufanya mambo yote hayo". Leon aliongea huku akiwa amesimama. Vera akamtazama Kendrick. Aliona namna Kendrick alivyokuwa mpole. Alimuonea huruma, hivyo akamshika mkono ishara ya kumfariji. Leon bado hakuwa amemaliza kutoa dukuduku lake, akaendelea kuongea. "Kuna jambo gani lipo nyuma ya pazia kati yako na Mama yangu? Nahisi huu sio upendo wa kawaida. Sema wazi ili huyu mkeo mtarajiwa ajue anakwenda kuolewa na mwanaume wa aina gani. NIJIBU KENDRICK!". Vera aliona Leon alikuwa amevuka mipaka. Hakuwa tayari kuona mpenzi wake akiendelea kudhalilishwa kwa maneno yasiyo faa. Naye akasimama wima na kumjibu Leon, "sikua najua kama wewe hauna adabu namna hiyo kiasi hata cha kuanza kumvunjia heshima Mama yako. Unathubutu vipi kuongea kauli zenye utata namna hiyo?". Vera akaongea kwa hasira huku akiwa amesimama. Lakini cha ajabu, Kendrick alianza kumsihi Vera kupunguza jazba. "Vera! Usiongee na Leon namna hiyo. Tulia basi". Alisema Kendrick kwa hofu. "Hivi kwanini unamuogopa namna hii huyu mpuuzi? Kwa.....". Haraka Kendrick akawahi kumziba Vera mdomo.

  • Kiburi chake kilikuwa cha hali ya juu, yaani hakuwa na heshima kwa mtu yoyote yule. Alikosa heshima, akakosa adabu, akakosa huruma, akakosa uungwana, yaani kwa ufupi hakuwa na utu. Jambo zito ambalo lilikua likimtesa Leon ni kutokuwa na maelewano baina yake na mama yake. Mama yake alikuwa akimchukia kupita kiasi. Chuki hiyo ilikuwa ni ya waziwazi. Leon hakuwahi kupongezwa na mama yake kwa jambo lolote zuri alilolifanya tangu akiwa mdogo. Alijitahidi kufanya vizuri shuleni ili angalau aone tabasamu la mama yake, lakini ilikuwa kazi bure. Hata alipokua mkubwa, alifanya mengi kwenye kampuni na kwa hakika alistahili pongezi. Cha kushangaza hata hapo pia aligonga mwamba. Mbali na kuwa mtoto wa pekee kwa mama yake, lakini hakuuona upendo wa Mama juu yake. Na mbaya zaidi alipofika kijana mgeni ndani ya nyumba yao. Mgeni ambaye ndiye Kendrick wakati huo akiwa na miaka kumi baada ya majanga ya nyumbani kwao kutokea. Leon aliweza kushuhudia namna mama yake alivyokuwa akimtendea wema Kendrick na kumjali mara kwa mara. Kitu ambacho hakikuwahi kutokea kwake. Yote hayo Leon aliyakumbuka akiwa nje ya nyumba ya Kendrick. Na akaenda mbali zaidi na kukumbuka tukio ambalo aliweza kulishuhudia kwa mara ya kwanza kipindi Kendrick alipofika nyumbani kwao........ Siku hiyo alimuona Mama yake akipanda miti pamoja na Kendrick, tena aliona namna mama yake akiwa amejaza tabasamu kwenye uso wake. Wote walikuwa na furaha na walifanya tendo hilo la upandaji miti kwa ufanisi wa hali ya juu....... "Wow Kendrick! Hii ni bustani yetu mimi na wewe. Na kwa hakika umefanya kazi nzuri. Wewe ni kijana mzuri sana, mwerevu na mwenye tabia njema". Leon alimsikia Mama yake akimjazia sifa kedekede Kendrick, ilihali hakuwahi kufanya hivyo kwake yeye. Hapo ndipo chuki kwa Kendrick ikaamka, hakutaka Kendrick awe karibu na kitu chake chochote kile, na mbaya zaidi alienda mbali na kuanza kumfanyia Kendrick vitendo visivyokuwa vya kiungwana....... Muda mrefu uliopita tangu Kendrick na Vera waliposikia muungurumo wa gari nje ya nyumba yao na wote wakafahamu kua mgeni wao alikuwa amefika. Lakini jambo la ajabu ni kuwa, kimya kirefu kilipita huku kukiwa na hali ya ukimya. "Labda anataka utoke nje kabisa. Ukamkaribishe kuanzia huko nje mpaka anafika ndani. Au alijua kuna ukaribisho maalum,....... labda angekuta kumeandaliwa red carpet". Vera akamuambia Kendrick. Bado Leon alikuwa pale nje. Aliendelea kusimama na kuitazama nyumba ya Kendrick. Nyumba hiyo ilikuwa mpya, na Kendrick alipewa na Gina ambaye ndiye mama wa Leon. Kendrick alipewa nyumba hiyo kama zawadi kipindi ambapo alianza mchakato wa uchumba kumchumbia Vera. Siku hiyo ndio ilikua ni siku ya kwanza kwa Leon kuiona nyumba hiyo mpya ya Kendrick. Wala haikuwa nyumba kubwa sana, lakini Leon alijikuta akiumia kwani hakuweza kukumbuka kama kuna siku ambayo Mama yake aliwahi kumpa zawadi ya aina yoyote ile. Ila alibaki na kumbukumbu nyingi za Mama yake kumpenda Kendrick kuliko yeye na ndio maana alifanya hata jambo kubwa namna ile. Leon alizihifadhi kumbukumbu zote hizo kwenye kichwa chake na moyoni mwake na kuwa chuki iliyovuka mipaka. Leon akatabasamu, kisha akatoa miwani na kuishika mkononi. Akaanza kutembea kuelekea usawa wa mlango. "Ngo!ngo!ngo!". Hodi ikasikika mlangoni. Hodi ile ilikuwa kama imepigwa kwenye tumbo la Kendrick, maana alipata maumivu ya ghafla ya tumbo na yakapotea ghafla. Yaani alipatwa na kiwewe mpaka Vera mwenyewe akawa anamshangaa. "Aaah! Brother...... Karibu, karibu sana". Kendrick akafika na kufungua mlango. Akamkaribisha Leon huku uso wake ukiwa umejaa tabasamu. "Asante". Leon akajibu na kupita. Vera akasimama na kumkaribisha pia Leon. "Karibu sana shemeji". Akasema Vera akiwa mwenye tabasamu. "Asante". Leon akajibu tena, na hapo pua yake ikakaribishwa na harufu nzuri ya chakula. "Wow! Shemeji, chakula kinanukia sana. Bila shaka kitakuwa kitamu, si ndiyo?". Leon akamuuliza Vera.

  • ambayo angeweza kumudu kupata kila kitu kwa wakati autakao. Lakini hayo yote yakabaki kua hadithi kwani hakukuwa na hata kimoja kilichotimia. Wazazi wake walikufa kwa ajali, hivyo malezi yake yakawa chini ya Dada yake aitwaye Edina ambaye aliolewa na mume hohehahe. Kutokana na Edina kuwa na maisha duni na kuwa na msongomano wa familia, Vera alishindwa kuendelea na masomo. Maana dada yake alikuwa na watoto wanne ambao aliwazaa asubuhi na jioni, hivyo nafasi ya Vera kusoma ikaenda kwa mdogo ake wa kiume ambaye ndiye alikuwa kitinda mimba chao. Ndoto yake ya kuwa msomi mashuhuri ikaishia hapo, akaanza kumsaidia dada yake kufanya biashara ndogondogo ya kutengeneza vitafunwa. Mpaka alipokutana na Kendrick, alikutana naye akiwa kwenye biashara hiyo ya Dada yake. Vera akiwa pale sebuleni alikuwa na mawazo mengi sana. Alianza kuyachanganua maisha yake kwa undani kabisa. Moyoni mwake alihisi bado alikuwa na deni, bado alikuwa na deni la kutimiza ndoto zake. "Kama ningekuwa msomi lazima ningeolewa na mwanaume tajiri. Mwanaume wangu angetokea kwenye familia kubwa yenye jina. Harusi yetu ingekuwa ni harusi ya kihistoria. Gauni yangu ya harusi ingekuwa ya gharama na ningetaka iwekwe nakshi za madini ya rubi. Lakini ona sasa! Nakwenda kuolewa na mwanamume wa ajabu sijapata kuona. Nimepata mwanaume muoga asiyeweza kujisimamia hata yeye mwenyewe, vipi kuhusu mimi na familia yake kiujumla..…... Ataweza kutusimamia kweli? Hana kazi maalumu, wala hana familia kubwa. Ooh Vera mimi! Sidhani kama haya maisha ni maisha yangu sahihi ambayo natakiwa kuyaishi. Isijekuwa naharakia mambo na baadae nikaja kujutia". Vera kichwa kilimuwaka moto kwa mawazo. Lakini punde mlango ukafunguliwa, Kendrick akaingia akiwa ametoka mazoezini, mwili ukimchemka balaa. Vera akainuka baada ya Kendrick kuingia na kujifanya kutaka kwenda jikoni, lakini Kendrick akamdaka mkono na kumkamatia kiuno kisha akamvuta karibu yake. "Jamani wewe una majasho. Niache bana". Vera aliongea kwa kudeka, yaani ni kama sauti haikutaka kutoka. Kisha akajigeuza na kumgeukia Kendrick, wakawa wanatazamana macho kwa macho na bado Kendrick alikuwa amekamata kiuno cha Vera. "Nakumbuka zamani ulikuwa unasema kuwa unaipenda harufu ya jasho langu. Au nimekosea?". Kendrick akamuuliza Vera. "Aaah ni sawa, huo ndio ukweli na ipo hivyo hadi sasa. Yaani naitamani hiyo harufu muda wote, naweza hata kulamba jasho lako ujue. Nakupenda Kendrick wangu! Nakupenda sana sana sana". "Asante baby. Nami nakupenda pia". "Nafahamu hilo". "Ok! Vipi umeshaandaa kila kitu?". "Yes. Lakini shida ni kuwa sijajua napika nini kwaajili ya huyo mgeni wako". "Sema mgeni wetu. Ni mgeni wetu mimi na wewe siku hii ya leo hapa nyumbani kwetu..... Aaah na kuhusu chakula, wewe andaa vyakula vyepesi kama tambi, vitafunwa na matunda. Nasisitiza, matunda yawe mengi. Ni mtu anayependa sana matunda kuliko kitu chochote". "Kama anapenda matunda kiasi hicho basi si aende msituni akaishi na nyani wenzake" "Wewe!! Shiiii..... Vipi kama akikusikia" Kendrick akamziba mdomo Vera kwa ile kauli yake ya kumuita nyani Leon. Lakini Vera hakupenda. Yaani hapo tu ndipo anapochefukwa kwa namna Kendrick alivyokuwa akimuogopa Leon na kumuhofia hata kama akiwa yupo mbali. Vera akajitoa karibu na Kendrick na kuondoka huku akiwa amenuna. ITAENDELEA. SEHEMU YA 4 Mgeni waliyekuwa wakimsubiri bwana Kendrick na mchumba wake Vera alifika. Mbele ya nyumba ya Kendrick iliwasili gari aina ya Mercedes Benz G Wagon yenye rangi nyeusi. Baada ya muda mfupi mwanaume ambaye ndiye mmiliki wa gari hiyo akashuka. Kijana mrefu mweupe pee, mtanashati kwelikweli. Alivalia mavazi ya gharama, raba kali, jinzi ya kijanja, t-shirt ya kwenda, mkononi alikuwa na saa ya bei mbaya iliyonakshiwa kwa dhahabu tupu. Jina lake ni Leon Desmond, mtoto kipenzi wa Meya wa jiji na pia tajiri maarufu mjini hapo aitwaye Leonard Desmond. Leonard Desmond hakuwa na utajiri wa mali pekee, bali alikuwa na utajiri wa watoto lakini kipenzi chake alikuwa ni Leon na si mwingine yeyote. Leon alipata kila alichokitaka kutoka kwa baba yake. Ndio maana alijaa kiburi.

  • "Shida ni kua hautaki kusahau. Bado haujairuhusu akili yako isahau hilo tukio. Ni miaka mingi imepita, lakini wewe hautaki kuyaacha mambo yaende. Unakera sio siri". Vera akainuka na kuelekea msalani. Kendrick akavuta pumzi na kushusha, kisha akajilaza kitandani. Hakupenda namna Vera alivyokuwa akilalamika kwani ajisikia vibaya kwa kumkera mpenzi wake. Lakini afanye nini? Hakua na namna kwani hali ile ilimjia pasi na mapenzi yake binafsi. Miaka kumi na nne ilipita bila kuishi pamoja na mama yake kwani Anna alihukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kufanya mauji ya mumewe bwana Daudi. Kendrick aliishi na mjomba wake ambaye alikuwa akifanya kazi ya ulinzi kwenye nyumba ya bwana mmoja tajiri aitwaye Desmond. Kendrick alikulia kwenye makazi ya bwana Desmond kwani mjomba wake pia aliishi mahala hapo hapo pamoja na familia yake akiwemo na Kendrick, pia mke wa mjomba naye alikuwa ni mjakazi. Na hata Kendrick alijikuta akiwa mtumishi mahala hapo hapo kwani alipofika alipewa jukumu la kutunza mbwa. Kendrick hakuendelea na elimu, wakati watoto wawili wa mjomba wake wakisoma yeye aliishia kutumikishwa kazi kutwa nzima. Mara kutunza mbwa, mara bustani, kuosha magari, na wakati mwingine alilazimishwa kucheza na mtoto wa bwana Desmond aitwaye Leon ambaye alikuwa ni mtoto mkorofi sana. Kendrick hakupenda kucheza na Leon kwani mwenzake huyo hakuwa na tabia njema na mara zote alikuwa akimnyanyasa. "Nikiwa nyumbani nalala vizuri mwanzo mwisho. Lakini nikija huku sasa!". Vera aliingia chumbani baada ya kutoka msalani na kumkatisha Kendrick aliyekuwa amezama kwenye lindi la mawazo. "Shida nikija huku sasa weee!! Muda wote mtu anapiga makelele tu hata raha ya usingizi hakuna". Vera akaendelea kulalamika huku akipanda kitandani. Akalala na kujifunika blanketi na kisha akageuka upande wa ukutani. "Kesho Leon anakuja". Kendrick akaongea kwa upole. "Najua. Leo ni siku ya tano sasa unaongea neno hilo hilo tu. Yaani utafikiri huyo Leon labda ni Rais wa Marekani au Urusi". "Kwasababu nataka hali ya umakini juu yake. Sitaki lifanyike kosa au aone kasoro yoyote. Wewe unaongea tu kwasababu haujamjua vizuri". "Sawa nimekuelewa". "Na uzingatie hili. MUACHE AFANYE CHOCHOTE ANACHOKITAKA NA WALA USIMZUIE. MUACHE AONGEE CHOCHOTE ANACHOKITAKA NA WALA USIMJIBISHE". Vera akakaa kimya kutafakari, kisha akajifunua blanketi na kumgeukia Kendrick na kumuuliza. "Hata akinishika manyonyo nimuache si ndiyo?". Akamuuliza Kendrick lakini Kendrick aliishia kukunja uso kwa mshangao,. "Nini?". "Nini kitu gani? Si umesema nimuache afanye chochote akitakacho. Hata akinitia kidole nimuach.....". Vera hakumaliza kauli, tayari Kendrick akamuwahi na kumzuia mdomo. "Sina maana hiyo. Umenielewa vibaya mamaa". Akamuambia Vera kwa upole. Vera akatulia baada ya sauti nzito ya kidumedume kupita kwenye sikio lake. Mwili wote ulimlegea, wenge likamtoka na kutulia kama maji mtungini. "Lakini sipendi namna unavyomnyenyekea yule mjinga". Vera akasema kwa sauti iliyoashiria kukerwa na jambo lile. "Yatakwisha tu mpenzi usijali. Nipe muda, nakuhakikishia kua mwanaume wako nitaheshimika na kila mtu". Kendrick akajifunika pamoja na mpenzi wake na kumkumbatia kwa mahaba. Asubuhi na mapema Vera alianza usafi wa nyumba kuanzia ndani mpaka nje. Alihakikisha kila kitu kinakuwa sehemu yake bila kua na kasoro. Wakati huo Kendrick alikuwa ametoka kwenda mazoezini kama ilivyo kawaida ya vijana wanaojali afya zao pamoja na muonekano wa kijanja. Baada ya kuweka kila kitu sawa, Vera aliendelea kukagua kagua mpaka alipojihakikishia kua hakuna dosari. Akapumzika kwenye sofa akiwa hoi. "Hii inakera sana. Anamuogopa vipi namna hii. Yeye ni nani kwani?". Aliongea mwenyewe akiwa amechukizwa sana na tabia ya Kendrick kwa kumuogopa mno Leon. Vera ni binti wa miaka ishirini na mbili. Yeye ni mtoto wa pili kwenye familia ya watoto watatu. Katika ukuaji wake alikuwa na ndoto. Ndoto yenyewe ni kusoma sana na kuitumia elimu yake kama mtaji ambao ungeweza kuendesha maisha yake pamoja na familia yake. Mbali na hivyo alihitaji kuishi maisha ghari

  • "Lakini mimi sikutaka.... Ila alikua Leon na kusema....". Kabla Kendrick hajamalizia kuongea. Mjomba ake akamkata kauli. "Acha kuwa mnafiki. Hauwezi kumuingiza mtu mwingine kwenye majanga yako. Leon hayupo kama wewe!". Kisha Austine akamtaka Kendrick ainuke mwenyewe na waelekee nyumbani. Gina hakukubali. Aliona Kendrick hakua akitendewa haki. Alijua tabia za mtoto wake na akajua ndio yeye ndio chanzo. Gina akamtaka Leon kusema kila kitu na kuomba msamaha. "Hauwezi kuwa hivi mwanangu. Baba yako anakupotosha na kukuingiza kwenye njia isiyo sahihi. Sisi sote ni binadamu bila kujali hali zetu za kimaisha. Tunatakiwa kupendana na kuheshimiana pia. Najua haya ni makosa yako. Hivyo sasa hivi hapa omba msamaha". Gina akasema kwa mkazo. Leon hakua tayari kwa hilo. Akachukua kamera yake na kuondoka bila kusema chochote. Gina alichukia sana. Tabia mbaya za mtoto wake zilivuka mipaka. Lakini hayo yote yalikuja kutokana na namna baba yake alivyotaka kuwa. Namna alivyokuwa Desmond, ndivyo alivyotaka na mtoto wake awe. Gina alisikitika sana........... Hayo ndiyo yakawa maisha ya Kendrick. Mara kwa mara Leon alikua akimtendea vitendo visivyo vya uungwana na Kendrick akajikuta akishindwa kufanya chochote. Kendrick hakutaka ugomvi. Tena alichukia sana ugomvi na akawa mjinga kwa Leon kila siku. Na hiyo ikawa fursa kwa Leon na kuendelea kumtesa kila siku. Mara nyingi matukio yote ambayo Leon alikua akimtendea Kendrick alikua akiyarekodi kwenye kamera yake. Siku moja Gina aliweza kuiona kamera ya Leon. Na hapo akaona mshenzi wote ambao alikua anaufanya mtoto wake. Gina alishindwa kuamini kama Leon alikua na roho mbaya kiasi kile. Alipatwa na hasira na kuamua kuivunja vunja kamera hiyo. Na hapo ugomvi mkubwa ukaamka. Leon alikasirika sana kwa kitendo hicho. Aliapa kumchukia mama yake daima milele. Maneno mengi machafu akamtolea mama yake. Aliongea kwa hasira kama mkubwa mzima. Akamuacha mama yake kwenye simanzi kuu na hata majuto. Labda alijuta kupata mtoto kama yeye. Hasira za Leon hazikuwa kwa mama yake tu. Hata kwa Kendrick pia. Tena yeye alimuona ndiye adui mkuu wa furaha yake. Aliona tangu kufika kwa Kendrick pale nyumbani kwao, mambo mengi sana yalikuwa yamebadilika. Kila mtu alikua akimpenda Kendrick na kumpa sifa njema. Yeye akawa kama haonekani kabisa. Na hiyo ikawa mbaya sana kwake. ITAENDELEA. SEHEMU YA 3 BAADA YA MIAKA KUMI NA NNE Miaka kumi na nne ilipita tangu tukio lile la mauaji litokee. Na tayari Kendrick amekua kijana wa makamo. Lakini bado siku ile ngumu kwenye maisha yake ilikuwa imeganda kichwani mwake. Kila mara tukio lile la kumchoma kisu baba yake lilikuwa mbele ya macho yake, yaani hakuweza kusahau kabisa. Wakati mwingine lilimjia usingizini na kua ndoto mbaya ambayo hakutamani kuiota. ***** Siku hiyo Kendrick alikuwa amelala pamoja na mpenzi wake aitwaye Vera. Yalikuwa ni majira ya usiku wa manane. Bado ndoto mbaya ziliendelea kumzonga Kendrick, ""Baba! Baba amka baba! Baba angu jamani. Mama nimemuua Baba!!!". Kendrick alikuwa akiota huku akiweweseka kwa sauti. Vera aliyekuwa amelala kando ya Kendrick akainuka haraka na kukaa kitako. Akawasha taa iliyopembeni ya kitanda na hapo akaweza kumuona Kendrick namna alivyokuwa akipata tabu ndani ya ndoto ile. Vera alimtazama Kendrick kwa muda mrefu mpaka Kendrick akazinduka mwenyewe kutoka kwenye ndoto ile mbaya. Kendrick alikuwa akihema kwa kasi. "Pole". Vera akamuambia Kendrick baada ya Kendrick kuamka na kuwa kwenye hali ya wasiwasi. "Oooh samahani mpenzi! Kwa mara nyingine nimekukosesha usingizi. Nisamehe mpenzi wako, nisamehe sana sana sana". Kendrick akamtaka radhi Vera huku akimpetipeti kwa kumchezea nywele. "Hii hali inachosha Kendrick. Tutaishi hivi mpaka lini? Mpaka lini jamani?". Vera alilalamika. "Sifanyi makusudi fahamu hilo. Na ujue tu kua sitamani niote hii ndoto. Sitamani kabisa".

  • Desmond akamshika mkono mwanae na kumtoa pale. Jambo lile lilimuuma sana Gina. Tena lilimchoma vilivyo. Lakini hakutaka kuweka wazi hali hiyo. Akampoza Kendrick kwa maneno matamu huku akiwa kwenye hali ya tabasamu. "Unajua ni ngumu sana kuzoeana na mtu mpya? Hivyo hata wewe watakuzoea tu. Na utazoeana pia na Leon. Usijali, Sawa?". Kendrick akajibu kwa kichwa. Kisha Gina akamtaka Kendrick kunawa mikono na kurudi nyumbani....... Kendrick aliona namna maisha yalivyokuwa magumu kwa upande wake. Ghafla tu kila kitu kilibadilika. Wazazi wake hawakuwa pamoja naye na kujikuta akiishi maisha magumu akiwa ugenini. Nyumbani hakuelewana na shangazi ake, mbaya zaidi shangazi aliwakataza watoto wake wasizoeane na Kendrick kwa kuhofia angewaambukiza tabia mbaya. Bado Thabitha hakua akimhitaji Kendrick. Majira ya usiku Kendrick alipokuwa amelala, aliweza kumuona shangazi yake akitoka ndani na kuelekea nje. Ilikuwa usiku sana na Kendrick alihitaji kujua shangazi yake alikua akienda wapi usiku huo. Hivyo akatoka na kujikuta akipata shauku ya kumfuatilia. Alimuona shangazi yake akitokomea gizani na huko alikwenda kuonana na mwanaume kisiri siri. Mbaya zaidi aliweza kumtambua mwanaume huyo ni yule Bwana ambaye ndiye mmiliki wa eneo lile. Aliwaona wakikumbatiana na kuchombezana. Hapo Kendrick hakutaka tena kuendelea kutazama. Akarudi kulala na kubaki akiwa na chuki juu ya wanawake walioolewa. Aliona namna wanawake walio kwenye ndoa siyo waaminifu kabisa. Alikumbuka hata chanzo cha ugomvi wa baba na mama yake ni usaliti alioufanya mama yake. Mama yake alisaliti ndoa, na ndio ikawa chanzo cha matatizo. Kwenye akili yake akajiapiza kuwa asingekuja kumpenda mwanamke yeyote yule wala kumuamini. Aliwachukia hao viumbe kupita kiasi. Siku iliyofuata majira ya jioni, Kendrick aliitwa na Leon. Leon alimtaka wacheze pamoja kwenye swimming pool. Kendrick hakua tayari, kwani aliona namna baba yake Leon alivyopinga suala la wao kuwa karibu. Lakini Leon alimsisitiza sana kwani muda huo baba yake hakua yupo nyumbani. Kendrick pia alikua na hamu ya kucheza na mwenzake, tena kijana mwenzake mwenye umri sawa naye. Bila kujua kama Leon alikua na njama. Wakaingia pamoja kwenye swimming pool, lakini maji yalikuwa mengi sana na Kendrick hakuweza kuyamudu. Tofauti na Leon, yeye aliweza kuogelea vizuri kwenye bwawa hilo lenye kina kirefu. Hapohapo Leon akawahi kutoka na kwenda kuwasha kamera yake ndogo na kuanza kuchukua tukio zima namna Kendrick alivyokuwa akitapatapa ndani ya bwawa la maji. "Nakufa! Nisaidie.....". Kendrick aliomba msaada kwa Leon. Lakini Leon hakua tayari kufanya chochote. Ndiyo kwanza aliendelea kuburudika kwa kuona mtu akimfia mbele ya macho yake. "Usijali..... Unaenda kukutana na baba yako hivi punde tu. Na utamsimulia madhara ya kuzoeana na mama asiye wa kwako. Hivi ndivyo huwa nawafunza watu wenye vimbele mbele vya kujifanya wao ni bora kuliko wengine". Leon aliendelea kufurahi huku akiwa na kamera yake. "Mungu wangu! Ni jambo gani hili unafanya Leon?". Ni Mungu tu, Gina alifika eneo lile na kuona namna Kendrick alivyokua akipambania uhai wake. Haraka akajitupa majini na kumuokoa Kendrick. Hali ya Kendrick ilikuwa mbaya. Gina akapiga kelele kuita watu. Austine na mkewe pia walifika. Wakaona hali halisi. "Kendrick ni mbishi sana. Nilishamuonya juu ya kuheshimu kila kitu na kila mtu hapa. Lakini yeye ni jeuri aliye pitiliza. Ona sasa! Kavamia swimming pool na kumbe hajui kuogelea". Tabitha akaanza kulalama. Hapo akamfuata Leon na kumjulia hali. "Vipi wewe! Hajakudhuru...... Hajakuumiza mahali?". Akamuuliza Leon huku akimkagua mwilini. Kendrick alipatiwa huduma ya kwanza na mjomba ake na ndipo akarudisha fahamu. "Kendrick! Nini kimetokea? Inamaana ulikuja kuogelea?". Austine akamuuliza Kendrick mara tu baada ya Kendrick kuamka. "Hauwezi kuwa unachezea kila kitu. Lazima uwe na heshima kwasababu sisi hapa ni watumishi tu. Hili jambo lazima Boss atachukia sana". Austine akaongea kwa hasira.

  • Kendrick alianza kukumbana na changamoto mpya za maisha akiwa kwa mjomba ake. Mke wa mjomba aitwaye Thabitha hakua ameafiki suala la kuishi pamoja na Kendrick kwani walikuwa na mabinti wawili ambao walikua bado wadogo. "Vipi akiwabaka watoto wangu?. Huyu kijana ana damu ya mauaji kwenye mishipa yake. Ashindwi kuwa na tabia za ajabu. Kwanini usimpeleke kwenye kituo cha kulea yatima?". Thabitha akimueleza mumewe. Nia yake ilikuwa thabiti kua hakumhitaji Kendrick. Austine hakua tayari kwenye hilo. Alishamuahidi mdogo ake kua angemchukulia uangalizi mtoto wake hivyo hakuwa tayari kuishi mbali na Kendrick. Hivyo maneno ya mkewe akayapuuzia. Hilo lilizidi kumuuma Thabitha. Mawazo yake yakaenda mbali na kuhisi mumewe angeweza kumpenda zaidi Kendrick kwani yeye ni mtoto wa kiume na kuanza kuwapuuza mabinti zake. Jambo ambalo halikuwa kweli. Siku moja majira ya asubuhi, Kendrick alikua kwenye bustani akitengeneza maua. Na hapo hapo mwanamke wa makamo akafika karibu yake. Mwanamke huyo ni mke wa Bwana Desmond na aliitwa Gina. Alisimama kwa muda kidogo akimtazama Kendrick namna alivyokuwa akitunza bustani na alipendezwa sana na uchapakazi wa Kendrick. "Wewe ndio Kendrick?". Gina akamuuliza Kendrick aliyekua hajui kama kulikuwa na uwepo wa mtu mwingine karibu yake. Na ndio sababu alishtuka sana na kugeuka nyuma na ndipo alipomuona mwanamke huyo mrembo aliyeng'ara kutokana na kuogelea kwenye kisima cha utajiri. "Eeh! Ndio mimi". Kendrick akajibu kwa unyenyekevu. "Pole sana kwa yote yaliyokukuta. Maskini! Bado kijana mdogo, haukupaswa kupitia hayo. Lakini usikate tamaa, kuwa jasiri kwaajili ya kesho yako iliyo bora". Akasema Gina. Maneno hayo yamlifanya Kendrick atabasamu, kwani mwanamke huyo alionyesha hali ya kujali juu na kuguswa na matatizo yake. Si hivyo tu, bali alionekana ni mtu asiye na majivuno. Na kwa kudhihirisha hilo, Gina akajumuika na Kendrick kwenye kuandaa ile bustani. Wakafanya kazi kwa pamoja huku kila mmoja akiwa kwenye hali ya furaha. Kendrick alihisi amani sana kushiriki kazi za pamoja na Gina. Alihisi kama uwepo wa mama yake upo karibu yake. ""Wow Kendrick! Hii ni bustani yetu mimi na wewe. Na kwa hakika umefanya kazi nzuri. Wewe ni kijana mzuri sana, mwerevu na mwenye tabia njema". Gina akatoa sifa kedekede kwa Kendrick. Kendrick akazipokea sifa hizi zote na kumshukuru. Lakini hapohapo jambo baya likajitokeza. mtoto wa Gina alikua karibu na eneo lile na aliona kila kitu kilichokuwa kinaendelea. Alikua amesimama kwa hasira sana. Namna mama yake alivyokuwa akishiriki kazi za pamoja na huyo kijana mgeni, hiyo ilimfanya aumie moyoni. "Ooh Leon! Kumbe upo hapa?". Akasema Gina baada ya kutambua kijana wake Leon alikua pale. Leon alionekana kulingana umri na Kendrick, rika lao lilikuwa sawa. "Kendrick! Njoo nikutambulishe kwa Leon". Gina akamshika mkono Kendrick na kumtoa kwenye bustani. Yote hayo Leon aliyahifadhi vizuri. Namna mama yake alivyomshika mkono kijana mgeni, bado aliendelea kuumia. "Leon! Ukweli ni kwamba sasa hivi umepata rafiki. Huyu ni Kendrick, kijana wa Austine, yule anko anayetunza mifugo. Atakua rafiki yako. Sawa?". Gina akamuambia Leon. Kendrick na Leon wakabaki wakitazamana bila yeyote kusema jambo. Lakini hapohapo akatokea Desmond, mume wa Gina na pia ni baba wa Leon. Desmond akafika na kumshika mkono Leon, "mtoto wangu hawezi kuwa na rafiki masikini. Hata siku moja usiweze kumchanganya na watu wa aina hiyo. Leon ana takiwa kuwa sambamba na watu wa aina yake, sawa!. Hivi haujui kama huyu kijana mama yake yupo gerezani? Mama yake ni muuaji, vipi kuhusu yeye! Hauoni kama unamuweka mwanangu kwenye hatari?". Desmond akamwambia Gina kwa ukali. Hakupenda kumuona Kendrick karibu na kijana wake wa thamani. "Desmond! Maneno yako ni makali sana. Siyo sawa kutamka mbele ya watoto!". "Unamtetea kwasababu ni masikini mwenzio. Nyote damu ya umasikini inapita kwenye mishipa yenu. Sasa hilo ni juu yako, lakini siyo kwa Leon. Leon yuko kwenye tabaka tofauti na nyie".

  • Hali ilikuwa mbaya kwa Anna. Pumzi zilianza kukata. Akabaki akipiga piga mikono bila msaada. Lakini ghafla!!! Akashangaa Daudi akiwa ameacha kumkaba na kubaki akiwa ameduwaa. Daudi alikuwa ameganda huku macho yakimtoka pima. Na baada ya dakika chache damu zikaanza kumtoka mdomoni. La haula!!! Anna hakuamini pale alipoinuka na kuona Kendrick akiwa amefanya kitu cha ajabu. Kendrick alikuwa amemchoma kisu baba yake. Tena alizamisha kisu chote na kubaki mpini tu. Sekunde za kuhesabu Daudi akaanguka chini "puuuh", maumivu aliyoyapata hayakuwa na mfano. Mdomo ulikuwa mzito na hakuweza kusema neno tena. Macho yakafifia na kukosa nuru. Kwa tabu sana akainua mkono na kunyoosha kidole, "Kendrick umeniua...... Ama kwa hakika Wewe kweli sio damu yangu. Lakini nakuambia, wewe ni mwanaume kama mimi, najua ipo siku utakuja kuyaelewa maumivu yangu. Ahsante sana, ahsante sana Kendrick........". Hapo hapo akakata kauli. Daudi akaaga dunia na hiyo ikawa ndio kauli yake ya mwisho kutamka. Kendrick alihisi wazimu kumuona baba yake akiwa kwenye dimbwi la damu huku yeye akiwa ndio sababu. "Baba! Baba amka baba! Baba angu jamani. Mama nimemuua Baba!!!". Alisema huku akimuamsha baba yake. Machozi yalimtoka kama maji. "Kendrick acha!". Anna akamfuata mwanae na kumtuliza. "Tulia mwanangu. Wewe haujafanya chochote. Bali ni mimi. Mimi hapa ndio nimeua. Sawa! Unanisikia!!".... "Hapa na mama!! Mimi mimi mimi hapa ndio ndio.....". "Ndio nini? Si nakuambia haujafanya chochote. Mimi ndio nimemuua baba yako". Anna akachomoa kisu kwenye mwili wa Daudi. Hapo hapo utumbo ukafumka na kumwagika nje. Hali ikawa mbaya, damu zikaendelea kumwagika. Na ghafla Anna akawa kama amepatwa na kichaa. Akaanza kuchoma choma visu vingi kwenye mwili wa Daudi. Wakati huo Kendrick akiwa pembeni akitazama unyama aliokuwa akiufanya Mama yake. Anna baada ya kumaliza, akamtazama Kendrick na kumwambia. "Mimi ndio muuaji! Umenielewa?". Akamuuliza Kendrick huku akimkodolea macho. "Lakini hakuna haja ya kufanya hivyo. Tayari alikuwa ameshakufa. Mama tukimbie tu. Tuondoke mbali ili polisi wasiweze kutupata". Kendrick akamueleza Mama yake. Uso wake ulijaa hofu. Aliogopa sana kuanzia usoni mpaka moyoni. "Hatuendi popote. Acha niwajibike kwa makosa yangu mwenyewe. Kila kilichotokea ni makosa yangu". Anna akatulia kidogo. Akatuliza akili na kuanza kutazama hali halisi ya pale ndani. Vitu vilikuwa vimevurugika. Hali ilikuwa mbaya sana. Yeye na mwanae wote walichafuka damu. Mbaya zaidi Kendrick alikuwa akitetemeka kwa hofu. Hakua na kingine zaidi ya kumkumbatia mtoto wake na kumueleza mambo muhimu ya kufanya. Jambo kuu ni kuwa Anna hakua tayari kumuingiza mtoto wake kwenye hatia. Na wala hakutaka kuona Kendrick akijihisi hatia kwa namna yoyote ile. Hakua tayari kuona Kendrick akiishi maisha ya wasiwasi kutokana na kile alichokifanya. "Mimi ndiye niliyeua sawa! Wewe hauna makosa. Hauna makosa Kendrick wangu. Wewe sio muuaji. Umenielewa?". Anna akamueleza tena Kendrick. Na kabla Kendrick hajatoa jibu, walisikia hodi mlangoni. Ni jirani yao alifika kuwatazama baada ya kelele za ugomvi uliodumu kwa muda mrefu. "Daudi!! Baba Kendrick". Jirani huyo aliita akiwa mlangoni. "Fungua tu na upite jirani! Pita tu mlango uko wazi". Anna akajibu akiwa palepale chini. Jirani alifungua milango na kupita ndani. Lakini aliishia kutoa macho na kupigwa na butwaa baada ya kuona mwili wa Daudi ukiwa chini, na pembeni amekaa Anna akiwa amemkumbatia kijana wake. Huu ni mwanzo wa simulizi yetu hii nzuri yenye kisa cha kusisimua. Nakusihi tuwe sote kwenye mwanzo huu na mpaka tutakapofika tamati. Ahsante....... ITAENDELEA. SEHEMU YA 2 Kendrick alianza maisha mapya. Maisha ya kuishi bila wazazi. Wakati mama yake akitumikia adhabu ya kifungo cha maisha jela, Baba yake alikua tayari ameshazikwa. Kendrick akachukuliwa na mjomba ake aitwae Austine. Huko akaishi ndani ya nyumba ya tajiri mmoja na mwanasiasa maarufu aitwaye Leonard Desmond.

  • 2 янв.1 336

    Ahadi yangu kwenu nyie wawili ni kuwa, nitapambana kwaajili yenu ili kufanikisha kila zuri juu yenu. Nawaahidi na sitowaangusha. NAOMBA PIA UNIOMBEE MAANA UTAFUTAJI WANGU NI MGUMU SANA MKE WANGU. DAIMA MUNGU ATUSIMAMIE NA ATUTANGULIE KWENYE HATUA ZETU ZOTE. NA HUYU MTOTO JINA LAKE NI KENDRICK". Daudi aliyakumbuka hayo wakati akimtazama Kendrick pale alipokuwa amesimama. Na zaidi akaendelea kukumbuka. Alikumbuka pia namna alivyokuwa akiishi na mtoto wake huyo na kumlea kwa upendo wake wote. Malengo yake makubwa juu ya mtoto wake yalianzia tangu Kendrick alipozaliwa. Lakini cha ajabu akajikuta akiambulia mauzi kwani mtoto huyo hakuwa mtoto wake halali. Mbaya zaidi mtoto alikuwa ni huyo huyo tu hakuwa na mwingine (na hata kama angekuwa na mwingine lakini maumivu yangebaki palepale). Daudi machozi yakaanza kumtoka huku maneno ya Anna yakijirudia akilini mwake. Kwa mdomo wake Anna alikiri na kutamka bila kificho kuwa Kendrick hakuwa mtoto wake halali. Na Daudi akaenda mbali zaidi ili kupata uhakika wa jambo lile, akafanya vipimo vya vinasaba. Hapo ndipo akapata uthibitisho kamili, ni kweli Kendrick hakuwa mtoto wake. Maumivu aliyoyapata hayakuwa na mfano. Nguvu zake na upendo wake kwa familia yake ulikuwa ni kazi bure. Mkewe alifahamu kila kitu na alikuwa akimsanifu tu. Anna alipata mashaka baada ya kumuona Daudi akimtazama Kendrick kwa muda mrefu. Tena alikuwa akimtazama kwa uchungu. Hisia mbaya zikamjia kua Daudi angefanya unyama hata kwa Kendrick pia. "Kendrick nimesema kimbia. Ondoka kwa mjomba wako ondoka hapa sasa hivi". Anna akasema tena. Lakini ikawa tofauti, Kendrick huyo aliyemtaka kukimbia ndio kwanza alimfuata pale alipo. "Mama! Siwezi kuondoka hapa bila wewe. Tuondoke! Twende pamoja kwa mjomba". Kendrick akaanza kumuinua Mama yake. "Hapana! Hayo ni makosa. Unafanya makosa Kendrick. Taarifa ni kuwa siku hii leo ndio siku ya mwisho sisi watatu kuishi duniani. Mimi Daudi, wewe Anna, na wewe Kendrick, leo tunakufa. Nawauweni wote, na kisha najimaliza mimi mwenyewe. Saa chache kuanzia sasa, polisi watafika hapa huku wakiwa na waandishi wa habari. Taarifa mbaya za mauaji ya kinyama nitakayo yafanya zitasambaa kila kona ya nchi. Vyombo mbalimbali vya habari vitaripoti na kila mmoja atanilaani mimi". Daudi akawaambia Anna na mtoto wake. "Mimi ndiye mwenye makosa! Niuwe mimi lakini kijana wangu hana hatia". Anna aliendelea kuomba. Kendrick alishindwa kumuelewa baba yake jinsi alivyokuwa. Yaani alibadilika kabisa na hakuwa baba yake yule aliyemzoea. Kendrick akawahi kwa Mama yake pale chini huku akimsihi baba yake asiendelee. "Basi baba acha. Acha umeshamuumiza Mama". Kendrick akamuambia baba yake akiwa kwenye uso wa huruma. Anna akamkumbatia kijana wake, dua na sala kwa mwenyezi Mungu ni kumnusuru kijana wake kwenye unyama wa mwanaume yule aliyesimama mbele yake akiwa ameingiliwa na roho ya kinyama. Akili ya haraka haraka ikamjia, na hapo hakutaka kulaza damu. Haraka akamsukuma Daudi na kumshika Kendrick ili akimbie nae. Lakini hilo lilikuwa kosa. Maana kabla hawajafika mlangoni tayari Daudi alikwisha wakamata na kuwarudisha tena kwenye himaya yake. Safari hiyo Daudi hakuwa na muda mchafu, tayari alishadhamiria kutimiza azima yake. Daudi akamvuta Anna nywele na kumuinua shingo juu, ni wazi alitaka kupitisha kisu kwenye shingo ya mkewe na kutenganisha kichwa na kiwiliwili. Anna mapigo ya moyo yalimuenda kasi. Aliona tayari kifo kilishapiga hodi. Lakini Kendrick hakuwa tayari kuona Mama yake akiuliwa mbele ya macho yake. Japokuwa hakuwa na jambo kubwa la kufanya, lakini hakutaka kukaa bila kufanya kitu. Akawahi haraka na kumng'ata meno mkononi baba yake. Alimng'ata kwa nguvu zote na Daudi alihisi maumivu makali hadi kisu kikamdondoka. Hasira zikazidi kumpanda. Daudi akamtazama Kendrick kwa jazba, kisha akamuwasha kibao cha nguvu kilichompeleka Kendrick mpaka chini. Baada ya hapo akamrudia tena Anna na kuanza kumshushia tena kipigo. Mbaya zaidi akaanza kumkaba shingoni kwa mikono yote miwili.

  • *MY HEART IS ALWAYS YOURS* SEHEMU YA 1. """""UTANGULIZI""""" Yalikuwa ni majira ya saa sita usiku. Mji ukiwa umetulia, nyumba zikiwa kimya, kasoro nyumba ya bwana mmoja aitwaye Daudi. Ndani ya nyumba hiyo hali haikuwa shwari. Kulikuwa na ugomvi mkubwa baina ya bibi na bwana. Daudi alikuwa akiishi na familia yake ndani ya nyuma hiyo. Mkewe aitwaye Ana na mtoto wao aitwaye Kendrick mwenye umri wa miaka kumi. Wakati wao wakiendelea kuzozana, Kendrick alikua chumbani kwake na alikaa kitandani akilia. Siyo siri, Kendrick alichoshwa na ugomvi wa mara kwa mara wa wazazi wake. Mara zote baba yake Kendrick alikuwa mkali kwa Mama yake kitu ambacho Kendrick hakukipenda kabisa. Lakini siku hiyo ilikuwa tofauti. Ugomvi wa siku hiyo ulikuwa ni wa tofauti na nyakati zilizopita maana siku hiyo Daudi hakukasirishwa na Ana kwasababu ya kutokurudi nyumbani mapema au makosa mengine ambayo Ana alikuwa akiyafanya mara kwa mara. Siku hiyo kulikuwa na ugomvi mwingine kabisa na katu Daudi hakutaka kutulia, alitaka kupewa majibu ya kina kutoka kwa mkewe huyo ambaye alikuwa na mambo mengi na hakuwa mwaminifu kwenye ndoa. Daudi alimpiga sana mkewe. Yaani alimpiga mno. Anna alikua amelala chini akiwa hajiwezi kwa kipigo. Mwili wake ulijaa alama za mkanda wa suruali, macho yake yalivimba kutokana na kupigwa ngumi zenye ujazo, mbaya zaidi hata meno kadhaa yalitoka ndani ya kinywa chake na hata alipokuwa akitema mate basi yalitoka mate yenye damu. "Nisamehe mume wangu! Utaniua. Daudi utaniua mwenzio". Anna aliongea kwa maumivu huku akilia. "Hivi unadhani nitakuacha mzima na kupata nafasi ya kuliona jua la asubuhi? Unafikiria itakua hivyo si ndiyo?..... Anna! Imetosha. Leo ndio mwisho wa kila kitu. Nakuua leo kahaba mkubwa wewe. Na kama unaona natania, subiri uone ...... Ngoja nikuonyeshe". Daudi akamshika Anna mguu na kuanza kumbuluza mpaka jikoni. Na wakati hayo yote yakiendelea, wote walikuwa wapo nusu utupu maana Daudi alivaa bukta na Anna alivaa gauni nyepesi ya kulalia. Baada ya kufika jikoni, Daudi akachukua kisu kikubwa kuliko visu vingine pale ndani. Kilikuwa ni kisu kikubwa haswa. Na hapo akili ya kinyama ikazidi kumtawala Daudi ndani ya kichwa chake. Hakuwaza kingine zaidi ya kumuuwa mke wake na kisha kujimaliza na yeye mwenyewe. Akashika mpini wa kisu kisawasawa na kumtazama Anna aliyekuwa amekaa chini. "Mume wangu! Tafadhali mume wangu usinifanyie hivyo. Kiukweli nimekukosea sana lakini naomba usinifanyie hivyo baba angu. Nielewe mimi jamani. Fanya kwaajili ya mwenyezi Mungu pia". Anna aliongea huku akilia. Ni wazi alikiona kifo chake kwenye mikono ya mume wake. Lakini ni kama bahati tu, muda huohuo Kendrick alitoka chumba kwake na kufika eneo la tukio. Kiukweli uvumilivu ulimshinda kwani ugomvi ulikuwa ni wa muda mrefu na hakuweza kupata usingizi. Alitoka chumbani na kukutana na tukio la ajabu mbele ya macho yake. Chini ya miguu yake kulikuwa na damu nzito, na meno mawili ambayo moja kwa moja alifahamu yalikuwa ni meno ya Mama yake. Si hivyo tu, alimuona pia baba yake akiwa amekamatia kisu barabara na akili yake ikafahamu wazi kuwa baba yake alikuwa na lengo la kumchinja Mama yake aliyekua amekaa chini akiwa amekata tamaa. Daudi na Anna walifahamu kuwa Kendrick alikuwa akiwatazama. Na hapo Anna akapatwa na mshtuko na hofu kubwa ya waziwazi. "Kendrick mwanangu kimbia! Kimbia Kendrick". Anna akapaza sauti kumuambia mwanae. Daudi pia akamtazama Kendrick, palepale picha ya Kendrick kipindi anazaliwa ikamjia. Mawazo yakamrudisha nyuma na kukumbuka siku ambayo Anna alijifungua mtoto na yeye akapata nafasi ya kumuona mtoto huyo kwa mara ya kwanza. Alikuwa na muonekano mzuri sana, akambeba kwenye mikono yake huku akimtazama kwa uso uliojaa tabasamu. Daudi akambusu mtoto wake kwenye paji la uso, na kisha akambusu mkewe aliyekuwa amelala kwenye kitanda cha hospitali huku akiwa bado anauchovu wa hekaheka za kujifungua. "Pole sana mke wangu. Na hongera kwa kuongeza mwanafamilia mpya. Hatupo tena wawili, hivi sasa tupo watatu. Mimi, wewe na kijana wetu huyu. Dume la nguvu, shababi kama baba yake.

  • Nilimsogelea na kumkumbatia kWa nguvu sana na kumtuliza, Ila mwenzenu hii ni dhambi, Yaani nimemkumbatia mtu kwaajili ya kumuuliza lakini weeeh nikajikuta nikianza kumpapasa Tamika wa wakati 😁🙌, kwakuwa Tamika alikuwa na Machungu sana hivyo hakuweza kuelewa kabisa. Baada ya muda nikamchukua na kumuweka Ndani ya gari tayali kwaajili ya kuondoka. Safari Wala haikuwa Ndefu kwakweli, Yaani tuliwai snaa kufika Nyumbani, kwa upande wa Tamika hakuwa Sawa kabisa, kilimsaidia moja kWa moja mpaka chumbani kwake, nilifika na kumlaza kitandani, ile nataka kuondoka tu Tamika akanivuta kWa nguvu sana na nikajikuta nikitua kwenye midoo yake ambayo ilikuwa tayari kwa kiss. Reaction 300 chap nilete mwendelezo. Idadi ikitimia ndipo nitatuma mwendelezo. Jinsi ya kuweka reaction, kandamiza simulizi kisha chaguwa emoji yeyote uipendayo

  • Majila ya jioni chapu nikarudi Nyumbani uku nikiwa na shauku sana na kula chakula kilichopikwa na Tamika, Sijui Kwanini Nilimwambia afanye kitu Kama iko ikiwa tayali Nyumbani Tuna mfanya kazi kwaajili ya kutupikia na majukumu mengine mengine. Nilifika Nyumbanina kwenda kuoga mwisho nikarudi zangu sebuleni na Tamika hakuwa mbali akaja na kunitengea chakula utazani anamtengea mume wake wa Ndoa vile. “Asante sana Tamika” Nilizungumza baada ya Tamika kumaliza kuniwekea chakula. “Ungana na Mimi “ Nilimwambia Tamika baada ya kumuona Kuwa anataka kwenda chumbani kwake, kWa utulivu Tamika akajibu. “Aaaah niko Sawa aiseeeh nimetoka kula musa sio mrefu boss wangu “ “Mmmmh Tamika jamani, huo uongo umeanza lini jamani, jumuika na Mimi jamani “ “Niko Sawa boss “ “Hapo kwenye boss sasa, Naomba nite Ezra Bwana “ “Sawa” **** Siku ziliendelea kwenda uku Mimi na Tamika tukiwa watu wa Karibu sana Tena sana, Yaani Tamika sikuwa na kila aina ya vibe , kila siku zilivyozidi kwenda ndio nilizudi kuona uzuri wa Tamika ambao amekuwa akiufucha kWa mavazi yake mabaya, lakini pia na kujiweka Kama mwanaume ambaye umri umeenda. Yaani kumkuta Tamika akiwa sana nywele zake Ndefu ni kazi sana, Mara nyingi Tamika amekuwa ni mtu wa kufunika nywele zake kwenye mzula ambao ilipauka sana. Siku moja ikiwa ni siku ya weekend, nilitoka zangu mjini na kuchukua vizawadi kwaajili ya Tamika, lakini pia nilimchukualia nguo nzuri sana kwani nilitaka Kwenda nae club kwa siku hiyo. Majila ya usiku Kama kawaida nikatoka nikiwa na Tamika, Walahi alipendeza sana, mavazi ambayo nilimjumulia yalikuwa on top Yaani, ukiwa kuangalia na shape yake ndio kabisa Yaani niliweza halafu nikaweza tena. “Kwahiyo Tamika wewe utumii Pombe kabisa ?” Nilimuuliza Tamika tukiwa kwenye gari. “Ahşaba Ezra Bwana nimeamka uamini hivi si ndio ? Yaani Mimi na Pombe ni Kama radhi na mbingu atuwezi kushikana kabisa, lakini ikitokea siku nimekunywa nakuomba Kama ni Nina Siri zako Walahi nazizagaza 😂🙌” “We mjinga kweli Mbona kuzizagaza jamani 😁” Hizo zilikuwa ni story za hapa na hapa kati yangu na Tamika, yooooh huyu girl ananıza vibe la maana kabisa na kuna muda ni Kama nilianza kumkwepa Demi wangu hivi kwaajili ya kutumia muda mzuri na Tamika. Hatimaye tulifika club na kulikuwa Bna vibe Kama lote, kila mtu alikuwa bize na vinywaji lakini pia na kunywa na kula, Tamika alionekana Kuwa sio mtu wa starehe ata kidogo, Mara nyingi alikuwa chini akiangalia mambo yanayoenda. Muda huo huo akaingia mkaka Fulani hivi, huyu kaka jamani yuko hot, muonekano wake ni kila mwanamke Anadata nae, na Kama yuko vizuri sana kila demi anapita Nae na yote hii ni kwakuwa alikuwa nampesa na hapo club alijulikana Kama PEDESHEE. Siku hiyo pedeshee aliingia akiwa na pisi moja Kali sana, muda huo huo Tamika akanyanyuka kwenye kiti chake na kumsogelea PEDESHEE na kumchezeshea kibao kimoja Matata sana. Kiukweli nilishtuka sanana haraka nikamuwai na kumuuliza. “Kuna nini ?” “Ezra Kaa mbali Tena mbali sana” Alizungumza Tamika Ka hasira sana kisha akamgeukia pedeshee na kumchezeshea kichwa cha mwana ukome, kila mtu alishangaa ikiwemo mimi. Kabala sijaingilia kati kwaajili ya kutuliza vulugu Tamika akamuuliza PEDESHEE. “Hapa ndio marekaji Issah ?” Kwanza macho yalinitoka Walahi, tangu NAKUJA huyu Issah hakuwai ata kutoka nje ya Mikoa halafu Leo hii anaulizwa hapa ndio Marekani. KWa sauti ya kejeli PEDESHEE akajibu. “Mshangazi Kaa mbali na Mimi Sawa huu ni muda wa mabinti “ Weeeeh kitendo cha yeye kumuita Tamika mshangazi kilinikasilisha na nikajikuta Nikiununua ugomvi, woiiiiih Sijui nilipatwa na nini lakini sio kWa hizi ngumi ambazo nilianza kumchezeshea huyu pedeshee. Tamika akaniwai na kunitoa nje, lakini Tamika hakuwa Sawa kabisa, kitendo cha kutoka nje tu Tamika aakajitupia chini na kuanza kulia, nyie nilimuonea huruma sana Tamika.

  • “Chochote ulichosikia kutoka kwangu Basi jua kuwa Namaanisha Tamika, nimeishi na watu mbali mbali lakini wewe kuna kitu special kipo Ndani yako Tamika, am sorry “ Ila nyieeeh huu utulivu Mimi nimeutolea wapi jamani sio kawaida yangu kabisa. 🥹 “Sawa “ Alijibu Tamika kWa kiufupi kabisa, nilimuangalia kWa muda na kumuuliza. “Nikusaidie kupanga nguo zako kwenye kabati ??” Tamika akatabasamu na kujibu. “Utakuwa umenisaidia sana” Basi nikaanza zangu kumsaidia kuweka nguo zake kwenye kabati, wakati huo Tamika akaingia zake bafuni na baada ya muda nikasikia saauti ya maji yakimiminika ni wazi Kuwa alienda kuoga. Baada ya muda Tamika akatoka nje akiwa amevalia taulo fupi nyeupe, lakini pia na kichwani mwake alikuwa na nywele Ndefu sana ambazo sikuwai kuziona lakini pia sikuwai kufikilia Kuwa Tamika ndio Ananywele kiasi iko maana Mara nyingi Nimekuwa nikimuona na kofia ambayo ilikuwa ni kuu kuu. Achana na nywele sasa jamani, njoo uku, uku kwenye vya Kurithi halafu vinazidi, weeeeh Simjui mama Tamika lakini Tamika Amerithi kwa mama yake 😁 hiii sio nyashi jamani, Sijui Tamika alikuwa Anavaa vitu gani kwaajili ya kuficha lakini weeeh ili alilikuwa nalo Tamika ni zigo. Nikajikuta niki…..:: DEREVA KATIKA FAMILIYA YA KITAJIRI SEHEMU YA 5 Nikajikuta nikilopoka. “Ilo lote lako ??” Uwiiiiih mimi jamani 😂 si ndio kwanza nimetoka kuomba msamaha Saa hizi naanza kuonesha mambo mengine. Tamika akaniangalia kiasha akaniuliza. “Uko Sawa ??” “Ndio “ Nilijibu haraka haraka uku nikiendelea kupanga nguo zake kwenye kabati, nisiwe muongo kwakweli Tamika alijua kuniachanganya na hii shape yake, Yaani woiiiih sikuwai kutalajia Kuwa ndio ana Mzigo mkubwa Kama huu, lakini pia Nilimchukulia powa sana lakini Tamika ni bonge la pisi Yaani pisi ya kwenda sio kitoto. Tamika akaachukua mavazi yake na kwenda bafuni kwaajili ya kuvaa kwani Mimi nilikuwa pale. Baada ya muda Tamika akatoka akiwa amevalia dela kWa Mara ya kwanza tangu namuona Tamika Leo ndio amevaa vizuri na kujiweka vizuri kwani siku zote uwa anajiweka OVYO sana, lakini pia kichwani alibana nywele yake vizuri kabisa. “Umependeza “ Nilijikuta nikimsifia. Tamika akacheka na kusema. “Aaaah we nawe, na ili dela au ??” “Yaaah si unajua ndio mavazi ya stara kwa sasa “ “Sawa, Ezra unaweza kwenda kuendelea na kazi zako nitaanza ulipoishia” “Sa Mbona Kama unanifukuza hivi” Nilizungumza kimoyomoyo uku nikimuangalia usoni mwake ni kaama nilikuwa nataka huruma yake hivi. Muda huo huo sauti ya mama ikasikika ikiniita kutokea sebuleni, haraka nikatoka nje na kwenda kusikiliza wito wa mama yangu . “Haya sasa, Tamika uliyemtaka huyo amekuja, lakini nakuambia sasa hivi ukifanya tu fyokooo, namruhusu aondoke Sijui Kama unanisikia”. “Nakusikia na nakuelewa pia mama yangu, nitamlinda Tamika “ Majibu yangu yalimfaanya mama kushangaa na kuona Kuwa ni kweli Ezra Mimi nimeanza Kuwa mtu wa tofauti. *** Siku iliyofuata Kama kawaida niliamka asubuhi na mapema kabisa nikajiandaa na kwenda zangu kazini, siku huyo niliendesha Mwenyewe na Tamika alikuwa amelala chumbani kwake Kana kwamba alikuwa amechoka sana. İle nafika tu kazini Tamika akaanipigia na nilipopokea tu akaanza kuomba msamaha. “Boss pole sana aiseeeeh nimejikuta Leo nikilala sana na kupitiliza, Nisamehe sana, nitawai kufika hapo muda wa kukufuata, Na Kama utataka nije ata sasa Hivi nitakuja Tajiri yangu “ Nilimsikiliza kwa makini sana na sauti yake ya jazba na wasiwasi ilinifanya nimcheke sana mwisho nikamuuliza. “Unajua kipika ??” “Nani Mimi ??” Tamika aliniuliza. “Hapana Tamika nazungumza na mizimu ya ukoo wako mama, Naomba nisaidie kuiuliza Kama inajua kupika” “Oooh boss Mimi ni mwanamke Bwana kupika najua” “Sasa ili nikusamehe, Naomba Leo niangalie chakula kizuri kabisa, Yaani chakula Kitamu, chakula ambacho nikila Mwenyewe tu nikusamehe “ “Sawa boss “ Alijibu Tamika kisha akakata simu.

  • Alijibu Tamika kisha akaondoka zake. Kiukweli hiki kitendo cha Tamika kutaka kuondoka kilinipiga za usoni kabisa, kwanza sikuwa nimetalajia Kuwa anaweza akachukua maamuzii magumu Kama haya, lakini baada ya yote na visa vyote hivi Walahi Tamika nilikuwa nimemzoea sana 🥹. Kwa upande wa Tamika akugeuka ata nyuma jamani, moja kWa moja akaondoka. KWa unyonge wa hali ya juu nikarudi zangu chumbani kwangu. “Ata hivyo Atarudi tu kuomba kazi maana Nina Uhakika Ana shida sana na kazi” Nilizungumza kimoyomoyo uku nikijitaidi kujipa moyo na kutaka kuamini Kuwa Tamika lazima arudi Tena pale Nyumbani. Majila ya usiku nilishindwa kabisa kulala jamani 🥹 Yaani Sijui ilikuwaje lakini Nilitumia usiku mzima kuwaza Tamika, yaaah Nimekuwa nikimsema Sana, Nimekuwa nikimfanyia visa lakini saaah she’s the best, Tamika anajua jinsi gani ya kuzungumza Na mtu, Tamika Ana utu na utulivu, Tamika ni mwanamke ambaye Ana sifa zote za kike isipokuwa muonekano tu na mavazi yake, Yaani Kama Tamika umjui siku ukikutana nae na jinsi anavyojiweka unaweza kusema Kuwa ni mwanaume Tena ambaye umri umesogea. *** Siku iliyofuata Walahi nilichelewa kwenda kazini maana sikuwa Sawa kabisa, Yaani muda wote nilijikuta nikimfikilia tamika. Nikiwa ofisini kwangu, nilichukua simu yangu na kujikuta nikimpigia Tamika pasi ma kutalajia. “Hellow “ Nilizungumza baada ya Tamika kupokea simu yangu. “Unataka nini Ezra ??” Tamika aliniuliza, Ukweli ni kwamba nilimpigia simu kwaajili ya Kumuomba msamaha lakini kwakuwa mimi sitakagi kuonekana mmyonge nikajikuta nikizungumza kWa dharau. “Nimekupigia nikupatie last chance ya kurudi kazini Tamika” KWa haraka Tamika akanijibu. “Asante lakini siitaji kazi kwa sasa “ Aaah Walahi nilikasilika sana, kWa sauti ya ukalai nikazungumza. “Tamika utakuja kujutia me na……” Kabla sijamaliza Tamika akanikatisha na kuniambia. “Mwanzo mwisho Leo kunipigia simu Sawa, fanya maisha yako Broh “ Akazungumza Tamika kisha akakata simu, uwiiiih hapa ndio alinichanganya kabisa huyu mwanamke, sikuwai kufikilia kuwa atakuwa mgumu kiasi hiki. Majila ya jioni mama yangu akiwa jikoni Anamuandalia baba chakula, kWa utulivu nikamfata na kuanza kuzungumza nae. “Mama Naomba unisaidie kuniombea msamaha kwa Tamika nimemkosea sana “ Kwanza mama alinishangaa sana maana huu utulivu niliouonesha sio wangu kabisa, Yaani sijawai Kuwa na utulivu wa Namna hii, na hii ya kutaka kuomba msamaha ndio kabisa ilimshangaza mama yangu. Kwa utulivu mama akanigeukia na kuanza kunipima joto langu la mwili kupitia mikono yake.. “Uko Sawa ?” Mama aliniuliza. “Yaaah niko Sawa, lakini sio sana mama mpaka pale Tamika atakaponisamehe Mimi “ “Mmmmh Ezra Tangu lini wewe ukaitaji msamaha kwa mtu mwanangu ? Na Kama kweli unaitaji msamaha wa dhati kabisa Basi itakupasa kumuomba msamaha kila mtu, Namaanisha madereva wote ambao wamewai kukuendesha” “Lakini ma….” “Hakuna cha lakini mama, Ezra mwanangu maisha ayaendi hivyo Kijana wangu, Nimekuwa nikikuelezea kila siku lakini ukuwai kunielewa kabisa” “Unaweza kuzuungumza na Tamika mama ??” Hapo Nilimuuliza mama yangu kWa kumaanisha kabisa, Kiukweli Nimekuwa nikiwakosea watu sana Tena sana lakini huyu Tamika ameniweza kabisa Yaani naona Kama nimefanya dhambi kubwa sana. “Sawa nitazungumza nae “ Alizungumza mama na hapo nikajisikia afueni. **** Baada ya siku Tatu kupita, ikiwa ni weekend na ni Majila ya jioni nikiwa nimekaa sebuleni, muda huo huo akaingia Tamika akiwa na mama yangu, woiiiiiih nilijikuta nikifurahi sana na kuna Namna niliona ni Kama naashindwa kuficha furaha yangu hivi, kwa haraka nikamkaribisha. “Karibu sana Tamika “ “Asante “ Alijibu Tamika akiwa na tabasamu pana sana. “Ezra peleka mabegi ya Tamika chumbani kwake “ Alizungumza mama na muda huo huo nikafanya hivyo Wala awakiwa na haja ya kuniambia Mara Mbili Mbili. Nikiwa chumbani kWa Tamika Namuwekea mabegi yake, Muda huo huo Tamika akaingia na kuniuliza. “Huu msamaha wako Unamaanisha au ??” Nikaacha nilichukuwa nafanya na kumgeukia Tamika kisha nikamjibu.