Copywriting University
СтатистикаHelping People (Tanzanians) Make an Awesome Living As a Freelancer (Copywriter)
- Последний пост
- 3 авг.
- Последнее чтение
- ещё не заходили
- Постов за неделю
- 0
- Всего постов
- 20
- Тип
- открытый
- Язык
- английский
- Категория
- Образование
- В каталоге с
- 15 авг.
- 1/24сутки в ленте
- 203
- 1/48двое суток
- 232
- 1/72трое суток
- 250
Оценка по просмотрам недавних постов: пост набирает почти всё за первые сутки.
Посты
Hii Ndio Siri Iliyofichwa Juu ya UTAJIRI wa Pablo Escobar… Pablo Escobar alikuwa na Utajiri Wa: “$30 BILLION” Watu wengi huwa wanadhani kwamba: Kilichompa utajiri Pablo Escobar ni kuuza Madawa ya kulevya (a.k.a Cocaine) Ila: Ukweli ni kwamba… Pablo Escobar alikuwa ni zaidi ya Muuza madawa ya kulevya… Alikuwa ni Mfanyabiashara SMART Zaidi kuwahi kutokea… Kwani: Aligundua Siri ambayo wauza Madawa ya kulevya wengi walikuwa hawaijui… Na: Ndio maana… Tangu afariki 2, December, 1993…. Haijawahi kutokea Muuza madawa ya kulevya Tajiri kumzidi yeye Na: Katika moja ya Interview yake ya siri pablo aliwahi kusema… Biashara zote Duniani zinafanana… Na: Pesa hazipo kwenye Kile kinachouza haijalishi ni Haramu au Halali… …Pesa zipo kwenye Kitu Kinachoitwa: ”DISTRIBUTION SYSTEM” Kwa lugha rahisi ni kwamba: Pesa kwenye biashara yoyote hazipo kwenye bidhaa/huduma inayouzwa—zipo kwenye jinsi hiyo bidhaa/huduma inavyouzwa! DISTRIBUTION—ni kile kitendo cha kusambaza bidhaa/huduma na kuwafikia walengwa kwa Wingi zaidi! Kwahiyo: Kama unauza bidhaa/huduma mtandaoni… Jua kwamba : Kiwango cha pesa utakachotengeneza kitaendana na kiwango cha watu utakaowafikia wenye uhitaji wa bidhaa/huduma yako Rudia tena kusoma maneno haya maneno hapa chini… ”Pesa kwenye Biashara yako Zipo Kwenye Distribution” Hivi umeshawahi kujiuliza “Hollywood” huwa wanatengenezaje MABILIONI ya Dola kupitia Movies?... Basi nitakwambia hapa chini… Hollywood wanatengeneza Movie kisha wanaanza kwa kuionesha kwenye Cinemas chache kwanza… Kama watapata Mwitiko na Feedback nzuri kutoka kwa watu… …basi wataiachia hiyo Movie kwenye Cinamas nyingi zaidi Duniani ili itazamwe na watu wengi zaidi! Hicho kipengele cha mwisho… …hiyo ndio DISTRIBUTION Yenyewe! Na: Hapo ndipo wanapopiga Pesa ya Maana! Hata kama Tickets zitauzwa kwa $20–$30 bado wataishia kutengeneza Mamilioni ya Pesa… …kwasababu watauza kwa Mamilioni ya watu Dunia nzima! Kwahiyo: DISTRIBUTION Kubwa Ndio Kitu pekee Kinacholeta Pesa Nyingi kwenye Biashara yoyote! Na: Hii inaitwa: ”The Billionaire Secret” Nimeichambua na kuielezea vyema tena kwa mifano katika Barua ya 15—(BKM Letters) Na: Sio hivyo tu… Ndani ya Barua ya 15 nimeelezea pia njia kuu 3 za Kufanya Distribution ya bidhaa/huduma yako mtandaoni… kwahiyo: Kama bado hujapata Barua zako… …basi unaweza kuungana na wengine zaidi ya 63+ ambao tayari wamepata Barua kupitia hii link hapa chini >>>https://amosnyanda235.lpages.co/30bkmletters/ Na: Kama ndio mara yako ya kwanza kusikia kuhusu hizi Barua …Basi ngoja nikudokeze hapa chini: BKM LETTERS—Hii ni Series ya Barua 30 ambapo nimeweka Siri zote nilizojifunza kwa miaka zaidi ya 7 kuhusu: ”Pesa, Biashara, Uwekezaji, Sales, Marketing, copywriting, Offers,nk” …hivi ni vitu ambavyo natamani mtu angenifundisha mapema! Na: Barua zote zipo katika Mfumo wa PDF …na zote zimeandikwa kwa Lugha ya KISWAHILI! Kila Barua ina Pages Kuanzia 9—29! Unapata Access ya Barua zako ndani ya Dkk 2 tu kwenye whatsApp yako Kwahiyo: Kama bado hujajinyakulia Barua zako… …basi wahi mapema kabla bei ya barua haijapanda kutoka Tshs 1,000 mpaka Tshs 3,000 Kwa barua Moja! Maana yake: Kwa sasa bado unaweza kuzipata Barua zote 30 kwa Tshs 30,000 Tu—(Badala ya Tshs 90,000) Bofya link hapa chini SASAHIVI kupata Barua zako >>>https://amosnyanda235.lpages.co/30bkmletters/ See you soon! Voila Your Cousin… Amosi “BKM” Nyanda!
Leo Twende tuzungumze kuhusu Kitu Kinachoitwa: Customer AWARENESS Level Je hii “Customer AWARENESS Level” ni nini? …na ina umuhimu gani katika Biashara yako? Swali zuri… Nitakwambia hapa chini: Customer Awareness Level—ni kiwango cha uelewa wa wateja wako kuhusu Kile Unachokiuza (Bidhaa/huduma) NA: Huu ndio UFUNGUO wa kuuza chochote mtandaoni… Kwanini? Soma kwa makini Maneno yanayofuata: “Huwezi Kumshawishi Mtu Kununua Kile Unachokiuza Bila Kujua yupo katika Kiwango gani cha Uelewa” Kivipi?... Ngoja nielezee: Wateja hawafanani hata kidogo… …na kila wateja wana Tangazo lao Ukweli ni kwamba: Huwezi kutumia tangazo MOJA Kuuza kwa wateja wote sokoni–NEVER! Ukifanya hivyo Utakuwa umejihakikishia KUFELI kwa 100% Na: Hili ndilo Kosa la 99.9% ya Wajasiriamali & wafanyabiashara wanaouza bidhaa/huduma mtandaoni …yaani Kutumia Tangazo la Aina Moja kuuza kwa wateja wote! Ngoja leo nikuibie hii Siri ambayo Mshindani wako asingetamani Uijue kamwe: Sokoni kuna Makundi 5 ya wateja kutokana na Kiwango chao cha Uelewa yaani “Awareness Level” Ambayo ni: 1). Unaware 2). Problem Aware 3). Solution Aware 4). Product Aware 5). Most Aware Na: Haya makundi 5 ya wateja yana aina yao ya Tangazo la Kuyauzia bidhaa/huduma yako kulingana na kiwango chao cha uelewa… Mfano: Kama wateja wako wapo kwenye Kundi la “Unaware” halafu ukaandika tangazo la kuuza kwa “Most aware” —Imekula kwako Kwanini? Kwasababu: Kila kundi hapo lina kiwango chao cha uelewa pamoja na aina yao ya tangazo litakaloongea Katika Lugha watakayoielewa na kununua kile kinachouzwa Utafiti wa Harvard Business Review unasema: “Kutokuelewa Haya Makundi Matano ya wateja ndio chanzo cha 99.9% ya KIFO cha Matangazo Mengi Mtandaoni” LAKINI: Habari njema kwako ni kwamba: Kila kitu nimekuwekea ndani ya Kozi Mpya ya “The MCB” Ikiwemo FRAMEWORKS & FORMULAS za Kuandika matangazo ya kila kundi… …kazi yako inabaki Kukopi tu na Kupesti then Boom stampede! Baada ya kuingia kwenye Kozi unaenda kwenye Kipengele kinachoitwa: “MARKET” (Soko) …hapo ndipo nilipokuwekea Videos zenye Kila kitu kuhusu Customers Awareness Level Plus Formulas za Kuandika Matangazo! Maelezo yote ya Jinsi ya Kupata Kozi ya “The MCB” Nimekuwekea Kwenye hii Link Hapa chini👇🏼 >>>https://the-mcb.grwebsite.com/ PS: Baada ya malipo utapata Access ya kuingia kwenye Kozi yako ndani ya Dkk 2 Tu Pia ndani ya Kozi kuna COMMUNITY inayoitwa “The MCB Community” (Community Hii ni Maalumu kwa wale tu walionunua Kozi) Kozi Hii ni LIFETIME Access! Bofya Link hapa chini Sasahivi kuungana na wengine Zaidi 17+ ambao tayari wameshaanza kula Madini tangu jana! >>>https://the-mcb.grwebsite.com/ See you soon! Voila! Amosi Nyanda
HATIMAYE!Kila Kitu Nilichojifunza Ndani ya Miaka 7 Kuhusu Copywriting Skills Nimekuwekea Hapa! Rafiki Mpendwa… Ni kweli kwamba… Nimekuwa kimya kwa muda mrefu sana… …na hiyo yote ilisababishwa na kitu hiki Kimoja ninachoenda kukwambia ndani ya sekunde 60 zijazo! Ila: Kabla ya hapo naomba nikiri kwamba—niliwamiss sana! Na: Hivi ndivyo ilivyokuwa: Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikitamani kuweka kila kitu ninachokijua kuhusu Copywriting skills katika sehemu moja …ili kila anayetaka kujifunza ujuzi huu—basi apate kila kitu Kirahisi! Ila imekuwa vingumu sana kufanya hivyo kutokana na Wingi wa Majukumu ya kazi! LAKINI: January, 2026… Nikaamua kufanya maamuzi Magumu… Nikaamua kujifungia ndani na Kukusanya Siri zote, Makosa yote, Formulas & Techniques zote za Copywriting skills na kuziweka katika sehemu moja Na: Jana nimefanikiwa kukamilisha Kozi pekee Tanzania inayofundisha Copywriting skills kwa Lugha rahisi ya kiswahili Pamoja na Mifano halisi ya Matangazo yaliyowaingizia wateja wangu zaidi Ya: “BILIONI 2.3” …Katika niches mbali mbali ikiwemo: -Afya -Taarifa (Ujuzi) -Urembo -Mahusiano -Fedha (Finance) nk Na: Habari njema ni Kwamba: Leo kwa mara ya kwanza naitambulisha kwako Kozi pekee itakayoenda kukufundisha Copywriting skills kwa lugha rahisi Plus Mifano halisi inayoitwa: ”The Mafia Copywriting Blueprint” (The MCB) Kozi hii nimeitengeneza maalumu kwa Kila mtu anayeuza bidhaa, Huduma au Ujuzi mtandaoni ….na inamfaa hata yule ambaye hajawahi kuandika tangazo lolote mtandaoni (Beginner)anachukia kuandika na hajui hata maana ya Copywriting skills Ukimaliza unapata mpaka Cheti (Certificate) …Yaani unakuwa Professional Copywriter na Unaweza Kufanya Kazi na Kampuni yoyote Kama Copywriter Na: Utaratubu wote wa kuipata kozi Hii nimekuwekea kwenye hii Link Hapa chini👇🏼 >>>https://the-mcb.grwebsite.com/ PS: Bofya link hapa chini kisha soma mpaka mwisho pia ni ruksa ku-share Link hii kwa mtu yeyote ambaye unahisi anahitaji ujuzi huu >>>https://the-mcb.grwebsite.com/ Uwe na Ijumaa njema See you soon Your Cousin… Amosi “MCB” Nyanda!
Kila Kitu KITAREKODIWA...(Kwahiyo Hata kama Utapata Dharura Bado Utapata Masterclass Yako Yote) PS: Gharama ya Masterclass Hii ni Tshs 50,000 Tu... Hiyo ni Sawa Kabisa na Bei ya Pea 2 ya Viatu ...ila Kitu Kimoja Kuhusu Viatu ni Kwamba Utavivaa Vitaisha na utavitupa ILA: Ujuzi unaoenda Kujifunza Kwenye Program Hii Utakutengenezea Pesa Milele Je ni Kipi Bora Kwako? Kununua Viatu utakavyotupa Siku Moja Au... ...Kulipia Masterclass Ujifunze Ujuzi Utakao kutengenezea Pesa Milele ....Chaguo ni Lako! Wahi Lipia SASAHIVI Kwenda:👇 M-PESA/TIGOPESA 0767-912-157/0679-912-157 Jina: Amosi Nyanda Baada ya Malipo Nitumie Uthibitisho wako wa MUAMALA wa Malipo Ili nikuunge Kwenye Group! Ciao! Your Cousin... Amosi Nyanda!
Jinsi Ya Kutengeneza Kuanzia Tshs 3M+ Kila Mwezi Mtandaoni Kwa Kuuza TAARIFA...(_Ideas, Expertise, Skills & Hobbies_)... GUARANTEED! Rafiki Mpendwa... Baada ya Kusoma Ujumbe Huu Mpaka Mwisho nitaenda kukuonesha MFUMO wa Siri wa Kutengeneza Pesa Mtandaoni niliyojifunza Ndani ya Miaka 7 Kutoka Kwa Wataalamu 13 wanaotengeneza Pesa Ndefu Katika Ulimwengu Huu wa Internet NA: Ndani ya Sekunde 60 Zijazo nitaenda kukuonesha Kila Kitu LAKINI: ...Kabla ya Hapo Hii Ndio Sababu ya Kwanini MFUMO Huu ni Muhimu Kwako Mara ya kwanza Kusikia Kuhusu MFUMO Huu wa Kutengeneza Pesa ilikuwa ni 2017 ... ilikuwa ni Kutoka Katika Kampuni inayoitwa "AGORA" AGORA ni Nini?... Agora ni Kampuni ya Kuuza TAARIFA iliyoanzishwa Mwaka 1978 na Bill Bonner ...na Kila Mwaka wanatengeneza Zaidi ya $2 Billion Kwa Kuuza TAARIFA zinazohusu Stocks, Business, Investment, relationship, Health Nk _...N͟d͟i͟o͟ ͟U͟m͟e͟s͟o͟m͟a͟ ͟S͟a͟h͟i͟h͟i͟ ͟n͟i͟ ͟$͟2͟ ͟B͟I͟L͟L͟I͟O͟N͟_ Aina Hii ya Biashara inaitwa: "INFORMATION MARKETING BUSINESS Na: "Ndio Aina ya Biashara inayoniingizia Zaidi ya Tshs 3M+ Kila Mwezi Kwa Kuuza TAARIFA Katika Mfumo wa eBooks...(Nina eBooks 8 Mpaka Sasa) Well... Information Marketing ni Mfumo wa Kutengeneza Pesa Kwa Kugeuza Kile Unachokijua...(Idea, Expertise, Skills & Hobby) Kuwa Bidhaa ...na Kuuza Mtandaoni Katika Mfumo wa eBooks, Courses, Coaching, Mentorship, Masterclass, Consulting, Short reports nk! NA: Uzuri wa Aina Hii ya Biashara ni Kwamba: -Huhitaji Kuwa na Mtaji Wala Uzoefu wowote Ili Kuanza -Huhitaji Kuwa na Bidhaa yoyote Ili Kuanza -Wala huhitaji Kuwa Na Utaalamu wowote Mkubwa wa Kutumia Mitandao au Kompyuta Kitu Pekee unachohitaji Ili Kuanza Kutengeneza PESA Kupitia Aina Hii ya Biashara unayoenda Kuisoma Ndani ya Sekunde 60 Zijazo ni... . "DKK zako 30 Tu Kwa Siku, Internet Connection & Smartphone" ...then Boom Voila! Kwahiyo: Kama Unataka Kugeuza Ujuzi Wako, Mawazo, Utaalamu & Hobby Yako Kuwa Biashara itakayokuingizia Kuanzia Tshs 3M+ Kila Mwezi Mtandaoni ...basi Naomba nikukaribishe Katika Masterclass Hii inayoitwa: "͟I͟N͟F͟O͟R͟M͟A͟T͟I͟O͟N͟ ͟M͟A͟R͟K͟E͟T͟I͟N͟G͟ ͟C͟A͟S͟H͟ ͟S͟Y͟S͟T͟E͟M͟ Na: ...Hizi ni Nusu Tu ya Siri Unazoenda Kujifunza Ndani ya Masterclass Hii: MODULE 01: ✅. Nini Maana Halisi ya Information Marketing Business ✅. Jinsi ya Kufanya Utafiti wa SOKO Lenye Kiu ya Kununua... Pamoja na Kugeuza Ujuzi, Wazo, Utaalamu & Hobby Yako Kuwa Bidhaa inayouzika MODULE 02: ✅. Copywriting Skills...(Utajifunza Jinsi ya Kuandika Copy inayouza kama Wazimu Mtandaoni Kwa Kutumia Formula yangu ya Siri inayoitwa "THE RMC METHODS) ✅. Jinsi ya Kutengeneza OFFER itakayowafanya Wateja wapange Foleni, Wasukumane na Kukuomba Ili wakupe Pesa Zao ...Pamoja na Siri Zingine Kibao utazikuta Ndani! Gharama ya Kushiriki Katika Masterclass Hii ni: "Tshs 50,000 Tu" Na: Ukweli ni Kwamba: Imenichukuwa Zaidi ya Miaka 7 ya Kujifunza na Kufanya Majaribio pamoja na Kuwekeza Zaidi ya Tshs 17.9M+ Kwenye Coachings & Mentorships Programs Mpaka Kugundua Siri Hizi ninazoenda Kukufundisha Katika Masterclass Hii ...na kikawaida Huwa Nacharge Tshs 300K Kwenye 1 on 1 Coaching za Kila Mwezi LAKINI: ...Hii ni kama Bahati Kwako kwani Hautolipia Tshs 300K ...Wala Hutopoteza Miaka 7 ya Kujifunza Pamoja na Tshs 17.9M kama Mimi Badala yake nitaenda Kukufundisha Kila Kitu Kwa Malipo Kidogo Ya: T͟s͟h͟s͟ ͟50,͟0͟0͟0͟ Tu (300,000) Na sio Hivyo Tu: Kama Utakuwa Miongoni Mwa Watu 10 wa kwanza Kulipia... ...basi Nitakupa Hizi BONUSES Hapa Chini Bure Kabisa: 1). eBooks Zangu Zote 8 BURE...(Thamani yake ni Tshs 255K) PIA... 2). Nitakupa BURE Access ya RECORDED Masterclass itakayokufundisha Jinsi ya Kutengeneza MFUMO unaoitwa "Landing Page" utakao kuuzia Bidhaa zako Online bila ya uwepo wako ....(Huwa Nacharge Tshs 500K Kuwatengenezea Clients Wangu) Na Bado Pia: 3). Nitakupa Access ya RECORDED Masterclass ya Storytelling & Story-selling...(Thamani yake ni Tshs 55,000) Masterclass Itafanyika Siku ya JUMAMOSI...(05/07) Mwisho wa Kulipia ni IJUMAA Hii...(11:59pm) Nafasi ni 20 Tu...(LIMITED)
Masterclass Itafanyika Siku 2...(Tar 7 & 8 December) ... Itafanyika ONLINE...(YouTube Live) Kila Kitu KITAREKODIWA na utabaki na Access ya Videos Milele Mwisho wa Kulipia ni IJUMAA ya 06/12...(11:59PM) Wahi Nafasi Yako SASAHIVI Kwa Kutuma Tshs 55,000 Tu Kwenda Namba Hizi Hapa Chini 👇 M-PESA/ TIGOPESA 0767-912-157/0679-912-157 Jina: Amosi Nyanda Equity Bank: 300-2111-553-347 Jina: Amosi Nyanda Kisha: Nitumie Uthibitisho wako wa MUAMALA wa Malipo WhatsApp Ili Nikuunge Kwenye Group Tayari Kwa Kusubiri Masterclass Yako! PS: Kumbuka Kabla Hujaamua Kulipia Mwisho Kuna Watu Zaidi 16,000 Wanasoma Tangazo Hili Sasahivi na Nafasi Zilizopo ni 50 Tu na Mwisho wa Kulipia ni IJUMAA 06/12...(11:59pm) See you soon Ciao! Amosi Nyanda!
Soma Hii Kama Kweli Unataka Kutengeneza Kuanzia Tshs 60M+ Mtandaoni Ndani Ya Mwaka 2025...(Hata Kama Hauna Biashara Yoyote Kwa Sasa) Rafiki Mpendwa... Je Unataka Kuingia 2025 Huku Ukiwa na ramani Mkononi yenye Kukuonesha EXACTLY ni Nini ufanye Ili uweze Kutengeneza Kiasi Chochote Cha Pesa Unachokitaka? ...kama Umejibu Ndio basi Tenga Dkk zako 3 Tu kisha soma Ujumbe Huu Mpaka Mwisho Kwani: ...Kile unachoenda kukisoma Ndani ya Sekunde 60 Zijazo kimenichukua Zaidi ya Miaka 5 Kukigindua na Kukifanyia majaribio Kwanini ni Muhimu Kwako?... Kwasababu: "Ndizo Siri Zilizonisaidia Kutengeneza Zaidi ya Tshs 69,895,167M+ Ndani ya Miezi 11... Pamoja na Kununua Gari yangu ya Kwanza Mwezi October, 2024" NA: ...Hiyo Ndio Sababu iliyonifanya Niandae MASTERCLASS Hii inayoitwa: "2025 MONEY PLAN" ...Na Hizi ni Nusu Tu Siri Unazoenda Kuzigundua Ndani ya Masterclass yako ya "2025 Money Plan! 1. [MODULE 01] : Mindset Shift -Hapa Utajifunza Jinsi ya Kuondoa Vikwazo Vyote Vinavyokuzuia Kuyafikia Malengo Yako Kwa Kutumia Formula ninayoiita "Blocks Unlock-Mindset" (Bila Hii Mindset Mpya ni Ngumu kutoboa) 2. [MODELE 02] : Jinsi ya Kutabiri Kiwango Cha Pesa Utakachotengeneza Ndani ya 2025 Guaranteed -Utajifunza Lists ya Vitu Unavyohitaji Kuviuza Ili Kuyafikia Malengo Yako na Mbinu Mpya za Kuuza 3. [MODULE 03] : Jinsi ya Kuongeza FAIDA X 10 Zaidi Katika Biashara Yako Mtandaoni Kwa Kutumia Siri Hizi 5 Zilizopuuzwa 4. [MODULE 04] : Siri ya Kuandika Mtandaoni yenye Uwezo wa Kuteka & Kushikilia Attention ya Mtu yeyote Ili asome Hadi Mwisho na afanye Chochote unachotaka nimeipa Jina la "CHA & FAS" (Hints: Siri Hii Ndio iliyonisaidia Kukuza Akaunti yangu ya Twitter Kutoka O Followers Mpaka 70K Ndani ya Miaka 2tu ...na Ndio Silaha yangu ya Siri ninayoitumia Kwenye Matangazo yangu yote) 5. [MODULE 05] : Jinsi Ya Kugundua Biashara Yenye Uhakika wa Kufanikiwa Katika Soko Lolote (Hints: Biashara Zote zilizofanikiwa Katika Soko Lolote zina Sifa Hizi 3 zilizojificha... Kwahiyo Utajua Exactly uwekeze Kwenye Biashara Gani Mwaka 2025) 6. [MODULE 06] : Formula Mpya ya Kutengeneza Offers Ambazo Mteja Hawezi kukataa inayoitwa "The 8 Step Offer Gun" .... Pamoja na Siri Zingine Kibao! Well...Kutokana na Umuhimu wa Masterclass Hii nilikuwa na Chaguo Mbili... Aidha nicharge Tshs 200,000 Ili nipate Watu Wachache Tu watakaoweza Kumudu Gharama Au: ... nicharge Tshs 55,000 Tu Ili Kila Mtu Ambaye yupo Serious aweze Kumudu Gharama na Kujifunza Nikaamua Kwenda na Chaguo la 2: Kwanini?... "Ili Kila Mtu Mwenye Nia ya Kujifunza aweze Kumudu Gharama na Bei isiwe Kikwazo" (Seriously Tshs 55,000 si Chochote ukilinganisha na Malengo unayoenda kuyatimiza Kupitia Siri Hizi utakazojifunza Ndani ya Masterclass Hii) Kwahiyo: ... Badala ya Tshs 200,000 Leo Utaweza Kupata Access ya Kushiriki Katika Masterclass ya "2025 Money Plan" Kwa Malipo Kidogo Ya: "Tshs 55,000 Tu" NA: Kupata Nafasi ya Kushiriki Mpaka Uwahi sana... Kwasababu: "Nafasi Zilizopo ni 50 Tu... LIMITED" (Na Zaidi ya Watu 16,000 Wanasoma Sasahivi Tangazo Hili Kwenye Magroup yangu 15 ya WhatsApp & Telegram) PIA... ...Nitakupa Box Lililojaa Hizi BONUSES Hapa Chini BURE Kabisa BONASI # 1: Nitakufundisha Jinsi ya Kufanya Majaribio ya Matangazo ya Kulipia Fb & Insta Kwa Kutumia Formula ninayoiita "The RFT Framework"...(Baadae Itauzwa Tshs 130,000 kama Kozi) BONASI # 2: Nitakupa Template ya Siri ya Kuandika Matangazo ya Kulipia Fb & Insta Ndani ya DKK 15 Tu itakayokupa Mafuriko ya Wateja...(Inauzwa Tshs 57,000) (Utakopi Tu & Kupesti then Boom) Sio Hivyo Tu: ...Bado Kuna Zaidi!... BONASI # 3: Nitakuunga BURE Kwenye VIP & Private WhatsApp Group Linaloitwa "2025 Money Plan"....(Wengine watalipia Tshs 150,000 Kila Mwezi) ...Kwa ajili ya Mentorship, Ushauri, Motivations na Kufuatiwa Mpaka Upate Matokeo Ndani ya Miezi 6! Thamani ya BONUSES Zote ni Tshs 337,000! ...Zote Hizo Utazipata Kwa Leo Kwa Malipo Kiduchu ya: "Tshs 55,000 Tu"
Ghafla Nikashtuka Usingizini... Nikashuka kitandani... Kuangalia Muda ni 2:17am Haikuwa Jambo la Kawaida Kwasababu nimezoea kuamka 4:00 am Kila Siku ...na Kazi Zangu Nyingi Huwa Nafanya Muda Huo Nilifanya Utafiti Nikagundua Ndio Muda Ambao nakuwa More PRODUCTIVE Zaidi Kuliko Muda Wowote Hakuna kelele... Kila Mtu amelela Nafikiri Vizuri na FOCUS yangu inakuwa 100% Kwenye Kazi...(hakuna Kushika Simu) Nakushauri pia Jifanyie Tathmini Kisha Angalia Muda Ambao Unakuwa Productive Zaidi halafu Hakikisha hakuna Mtu anayecheza na Huo Muda Anyway Hilo halikiwa lengo la Makala Hii... Lengo la Makala Hii ni: "Kukupa FORMULA Fupi ya Kuandika Copy Itakayokuuzia Kitu Chochote Mtandaoni" Hii Ndio Formula ya Siri aliyoitumia Legendary Copywriter Gary Halbert Kuandika Tangazo la Kwenye Gazeti Miaka ya 90's ... Tangazo ambalo lilimtengenezea Mwenye Bidhaa Pesa Nyingi Mpaka Akanunua Timu ya Basketball Marekani Yes... Hilo ni Tangazo MOJA Tu Hiyo Ndio Nguvu ya Copywriting Skills Kwahiyo: Kama Unauza Chochote Online...Hii Ndio Itakuwa Silaha Yako ya SIRI! Formula Hii Inaitwa: "4-Step Framework" Step # 1: Waambie Walengwa Wako Utawapa Nini Step # 2: Waambie Hicho Kitu Unachowapa Kitaenda Kufanya Nini Kwenye Maisha Yao Step # 3: Waambie Kwanini Wanatakiwa Kuchukua Hatua Muda Huo...(Wape Sababu ya Kuchukua Hatua) Step # 4: Waambie Kwanini ni Salama Kununua Hicho Kitu Kutoka Kwako Muda Huo Nimekuchanganya? Usijali...Huu Hapa Mfano: Hi, Jina Langu ni Amosi Nyanda... Naweza Kukusaidia Kuandika Tangazo Litakalokuuzia Bidhaa/Huduma Yako Mtandaoni (Waambie Utawapa Nini) Haijalishi Unauza Kitu Gani na Kwa Bei Gani... Tangazo nitakalokuandikia Litaenda Kukutengenezea Pesa X 10 Zaidi ya Matangazo Yako yote unayotumia Sasahivi (Waambie Hicho Kitu Kitafanya Nini Kwenye Maisha Yao) Kuna Nafasi 3 Tu Zimebaki na Mwisho ni Kesho 4:00pm (Waambie Kwanini Wanatakiwa Kuchukua Hatua Muda Huo) NA: Kama ikitokea Tangazo Nililokuandikia halitauza ...basi nitakuandikia Lingine FREE na Lingine Tena Mpaka pale tutapopata lile linalouza Zaidi... Kwahiyo Hakuna RISK yoyote Upande wako (Waambie Kwanini ni Salama Kununua Hicho Kitu Kutoka Kwako) Then Booom STAMPEDE! Umeona Jinsi ilivyo Rahisi?... Na Unaweza Kutumia Formula Hii Kwenye Kitu Chochote Kinachohusu Kumshawishi Mtu Mwingine Kufanya Kile Unachokitaka Hata Kwenye Mahusiano So Chukua Hiyo Nitakuwa Na-share nawewe Kila Kitu ninachohisi kitakusaidia kutumiza Malengo Yako ya Kifedha Especially Kwenye Biashara PS: By the way Kuna SIRI Nzito Pia nimekuwekea Ndani ya Hii eBook Yangu Mpya inaitwa "$1M CONVO" ...kama bado hujaisoma Unaweza Kuipata Ndani ya DKK 2 Tu Kwenye WhatsApp yako Pamoja na BONUSES zake Zote Bofya Link Hapa Chini Kisha soma Mpaka Mwisho 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ eBook Ina Pages 55 Tu Unaweza Kuisoma na Kuimaliza Hata Leo baada ya Lunch au Dinner Kuanzia 01/11 Haitakuwa Tena Online Kwasababu Lengo Lilikuwa ni Kuiuza Exclusively Kwa Watu 100 Tu na Tayari Nafasi zilishaisha kitambo So Wahi Nyakuwa eBook Yako SASAHIVI Kupitia Hii Link Hapa Chini 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Uwe na Siku Njema Ciao! Your Rich Uncle Amosi Nyanda!
Pesa Zako Mtandaoni Zipo Kwenye Hizi Herufi 5 Zinazoitwa: "THRMS" Lakini... ...Kabla ya kukwambia Maana ya Hizo Herufi 5 nataka Kwanza nikwambie Kitu Hiki KIMOJA "Njia Pekee ya Kutengeneza Pesa Mtandaoni ni KUUZA Vitu" (The ONLY Way To Make Money Online Is To Sell Stuff) Kivipi?: Nitakwambia Hapa Chini... Miaka ya 90's Legendary Copywriter Gary Halbert aliwahi Kuandika Maneno yafuatayo Kwenye Barua yake ya Siri: "All Money Is Made By Somebody Selling Something to Somebody Else" Yaani: Pesa Zote Zinatengenezwa Kwa Mtu Fulani Kumuuzia Kitu Mtu Mwingine Kwahiyo: Huwezi Kutengeneza Pesa Popote Bila Kuuza Kitu... Uwezo wako wa Kuuza Ndio Utakaoamua kiwango Cha Pesa Utakachotengeneza Sokoni Swali ni Je....Unauza Nini? Well... Kuna Vitu VITATU Vya Kuuza Mtandaoni Ili Kutengeneza Pesa Muda wowote Popote... 1). Digital Products Hizi ni Bidhaa zinazoweza Kudanlodika Mtandaoni....(Downloadable Products) ...na mara Nyingi Hizi ni Information Products Mfano eBooks, Videos nk 2). Physical Products Hizi ni Kinyume Cha Digital Products... Ni Zile Bidhaa unazoweza Kuzishika, Kuzigusa na Kuzihisi Mfano: "Cream, Viatu, Nguo, Electronics nk" 3). Digital Services Hapa ni pale unapouza Ujuzi Wako wowote Mtandaoni Kwa Njia yoyote Ile NA: .... Kutokana na Utafiti wa Wataalamu Wengi Mtandaoni Kuna Maeneo Makuu Matano yaliyobeba Pesa Nyingi Zaidi kama Utaamua Kuuza Kitu Na Hapo ndipo tunaporudi Kwenye Zile Herufi 5 zetu Zinazoitwa: "THRMS" THRMS ni Kifupisho Cha Haya Maneno Hapa Chini... T-Travel H-Health R-Relationship M-Money S-Sex Umegundua Nini? Ndio Upo Sahihi...Hizo ni NICHES Zenye Pesa Nyingi Zaidi kama Utapata Kitu Cha Kuuza kinachohusu hayo Maneno Matano Kwahiyo: Tafuta Kitu Chochote Cha Kuuza kinachohusu Hayo Maeneo Aidha Katika Mfumo wa: "Digital Products, Physical Products au Digital Services" Utakuwa na Uhakika wa Kuandika Cheki Yako ya Pesa Mtandaoni I hope Umepata Kitu! P. S: By the way Baada ya Kukaa Sokoni Kwa Zaidi ya Miaka 5 na Kutumia Zaidi ya Tshs 39.7M Kwenye Knowledge nimechambua Siri 9 Ambazo Wataalamu Wengi Hawataki Uzijue zinazohusu Copywriting, Marketing, Sales, Offers, Pesa & Biashara... ...na Zote zimezikusanya na Kukuwekea Ndani ya Hii eBook Mpya Hapa Chini 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Baada ya Kubofya Hiyo Link Utapelekwa Moja Kwa Moja Kwenye Landing page na utaweza Kupata eBook Yako Ndani ya DKK 2 Tu Kwenye WhatsApp yako Pamoja na BONUSES zake Zote Zenye Thamani ya Tshs 861,789 BURE Kabisa Ciao! Amosi Nyanda!
Mwaka 2025 Unakaribia... Kwahiyo: Naomba unisikilize Kwa Makini Sana ..Ndio najua Kila Mtu anakushauri Nini Cha Kufanya Ndani ya Mwaka 2025 LAKINI: ....Makala Hii haitakwambia Nini Cha Kufanya Ndani ya Mwaka 2025 Badala yake... ... Inaenda Kukwambia Exactly Nini USIFANYE: Cha kwanza Kabisa: "Usiweke Kabisa Kitu Kinachoitwa: "New Year Resolutions" . Kivipi Nyanda?... Utauliza Nitakwambia Hapa Chini... "Utarudi Kwenye Circle Ile Ile ya Kupata Matokeo yale yale kama ya Mwaka Jana" ... na Hiyo ni Kutokana na Kitu Kinachoitwa "Analysis Paralysis" Ubongo wa Binadamu ukipewa Options Nyingi Huwa Unaacha Kabisa Kufanya Kazi...hali Hiyo inaitwa Analysis Paralysis Kwahiyo: "New Year Resolutions"...Hazifanyi Kazi: Badala yake: "Tengeneza KITU KIMOJA" Yes...Kitu KIMOJA Tu Kisha Kikuze Hicho Kitu Kimoja! Natamani Mtu angeniambia Kitu Hiki Miaka Kadhaa Iliyopita ...ila ukweli ni Kwamba waliniambia ila sikuelewa na Hata kama nilielewa basi sikuingiza Kwenye Vitendo Kwahiyo: ...Usiwe kama Mimi...usifanye MAKOSA kama Yangu! "JENGA KITU KIMOJA KIKUBWA NDANI YA MWAKA WOTE 2025" Mfano: Kitu KIMOJA nitakachofanya Ndani ya Mwaka 2025 ni Kutengeneza COURSE Moja ya Copywriting Skills na Kuitangaza na Kuiuza East Africa Nzima Mpaka Ilete Tshs 500M Ndani ya Miezi 12" Sijui Kuhusu Kitu Hicho KIMOJA Kuhusu Wewe... ILA: ... Njia Rahisi ya Kupata Kitu Hicho KIMOJA ni: "Kuchagua Kitu KIMOJA Ambacho Una Uwezo wa Kukifanya Vizuri Zaidi Kuliko Vingine Vyote na Tayari Kinakupa Matokeo Kwa Sasa Halafu Kifanye Kwa Ukubwa Zaidi" Kisha: Jiwekee TARGET na Muda wa Kupata MATOKEO ya Hicho Kitu Kitu Chochote usipokipa Ukomo wa Muda Huwezi Kukikamilisha NA: Ili Kukamilisha hili Kumbuka Hiki Kitu Kimoja Hapa Chini... "Focus ni Kujenga Kitu KIMOJA Ambacho Kinakupa Matokeo Kwa Sasa...Usianzishe Wala Kutafuta Kitu Chochote Kipya... Badala yake: ...Chukua Kitu KIMOJA Ambacho Tayari Kinakupa Matokeo Kwa Sasa Halafu Kifanye Kwa UKUBWA Zaidi" Pia... Hudhuria Seminars, Nunua Courses, Soma Vitabu, Ingia Kwenye Coaching & Masterminds nk (Upgrade your Knowledge) Hii ni Muhimu sana sana! Kivipi?... utauliza Ukweli ni Kwamba: Tofauti Kati ya watu Wanaopata Matokeo Makubwa Kwenye Chochote na Wengine ni: "MAARIFA & VITENDO" (Knowledge & Action) MAARIFA yanaanza Kwanza Kwasababu: ... Huwezi Kuingiza Kwenye VITENDO Kitu Usichokijua Kwahiyo: Endelea Kuwekeza Kichwani Mwako ...kwani Huo Ndio Uwekezaji Mkubwa Zaidi utakaoufanya Katika Maisha Yako alisema "Warren Buffett" Cha Mwisho: Kiu Yako ya Kujifunza Ndio Itakayoamua Kiwango Cha Ubora wa Maisha Yako Ndani ya Miaka 5 Ijayo Usiache Kujifunza Pesa Unayoitumia Kununua MAARIFA Sio Matumizi ni "UWEKEZAJI" Tupo Kwenye "Information Era" Era Ambayo TAARIFA ni DHAHABU! Mungu atusaidie sote! Ciao! Your Cousin... Amosi Nyanda P. S: By the way Baada ya Kuwa Kwenye Information Marketing Kwa Zaidi ya Miaka 5... ...nimekusanya SIRI Ambazo Wataalamu Wengi Hawataki uzijue zinazohusu "Copywriting, Marketing, Sales, Offers , Business & Money" NA: Kuziweka Ndani ya eBook Yangu Mpya inayoitwa "$1M CONVO" ...Mwanzoni nilikiuza Exclusively Kwa Watu 100 Tu na kama ulikosa hizo Nafasi 100 basi Kwa Sasa Unaweza Kukipata Ndani ya DKK 2 Tu Kwenye WhatsApp yako Kwa Kubofya Hii Link Hapa Chini 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ (Kuna Nafasi 50 Tu za Nyongeza) Baada ya Kubofya Hiyo Link Utapelekwa Moja Kwa Moja Kwenye Landing page Kisha soma Mpaka Mwisho halafu Nyakua OFA Yako Kabla Nafasi 50 za Nyongeza Hazijaisha Tena! ...nje ya Kitabu Unapata Pia na BONUSES Zenye Thamani ya Tshs 861, 789 BURE Kabisa So Wahi Nyakua SASAHIVI Hapa 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/
[HABARI NJEMA] :Nafasi 7 Za Nyongeza! Rafiki Mpendwa... Kama unavyojua... ...Mwisho wa Kulipia Kitabu Pamoja na Masterclass ya Leo ilikuwa ni Jana 11:59pm! LAKINI: Watu Wengi wamenifuata Inbox Leo Asubuhi na Kuniambia: . Jana walikuwa Kwenye "Land Rover Festival-Arusha" ...so hawakuwa Online Kabisa Na kama mnavyonijua: . Mimi Natamani Kuona Watu Wote wanajifunza SIRI Hizi 9 Nilizoziweka Ndani ya eBook Hii Mpya Hivyo Basi: Nimeamua Kuongeza Nafasi 7 Za Upendeleo za Kulipia eBook Mpya ya "$1M CONVO" Pamoja NA: ...Kupata BURE BONASI zake Zote Zenye Thamani ya Tshs 861,789! Ikiwemo Kuhudhuria BURE Kwenye MASTERCLASS ya Leo Usiku...(21:00pm) NA: ... Mwisho wa Kulipia ni Leo Saa 8:00pm Ili Kuwahi Kwenye Masterclass Kwahiyo: Wahi Bofya Link Hapa Chini SASAHIVI Ili Kupata Kitabu Chako Ndani ya DKK 2 Tu Kwenye WhatsApp yako Pamoja na Kuingia Kwenye Group Tayari Kwa Kusubiri Masterclass ya Leo Usiku na Wengine👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ KUMBUKA: Nafasi za Nyongeza ni 7 Tu...na Mwisho wa Kulipia ni Leo Saa 8:00pm! So Bofya Hii Link Hapa Chini SASAHIVI 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Baada ya Kubofya Link Utapelekwa Moja Kwa Moja Kwenye Landing page Kisha soma Mpaka Mwisho Ili Kupata Utaratibu wa Kulipia Kitabu Chako Pamoja na BONUSES zake Zote! Uwe na Jioni Njema! Your Cousin... Amosi "$1M Convo" Nyanda!
TAHADHARI: Kesho Ndio Mwisho Wa Kulipia eBook Mpya Ya: "$1M CONVO" Pamoja na Hizi BONUSES Hapa Chini Zenye Thamani ya Tshs 861,789 BURE... 1). Utaingia BURE Kwenye Exclusive MASTERCLASS inayoitwa "$1M Masterclass" ... Masterclass Hii ni Maalumu Kwa wale Tu watakaopata Kitabu ...Ambapo nitachambua na kuelezea Kila Point iloyopo Kwenye Kitabu Pamoja na Kujibu Maswali yote Live (Kwahiyo kama hupendi Kusoma Kitabu Bado Utajifunza Kupitia Masterclass Hii) 2). Nitakupa BURE PDF yenye Mkusanyiko wa Formulas zote za Kuuza Bidhaa Za: -Afya -Urembo -Viwanja -Usafi -Supplements za Network Marketing -Vitabu -eBooks & Courses nk ... Huwa naiita "$1M FUNNELS"....(nilinunua Tshs 367,789) 3). Nitakupa Link ya Website ya Siri ya Kupata AUDIENCE waliofichika wa Kuwatumia Kwenye Matangazo Yako ya Kulipia Facebook & Instagram Ambao Washindani wako hawatakaa Wajue...(nililipia Tshs 237,000 Kupata Access yake) Sio Hivyo Tu: PIA: 4). Nitakupa BURE RECORDED Masterclass ya Jinsi ya Kuandika Copy Pamoja na Kutengeneza Landing page...(Hii itauzwa Tshs 150K kama Kozi) Sitaishia Hapo: Pia Bado... 5). Nitakupa BURE PDF inayoitwa "Facebook Appeal Templates"...(nilinunua Tshs 107K) ...Hizi ni Scripts 9 za Siri za Kuwatumia Meta Ili wakufumgulie Akaunti Yako ya Facebook & Instagram Ndani ya Masaa 24 Tu...(Hata kama ilikuwa Permanently DISABLED) Kwahiyo: BOFYA link Hapa Chini SASAHIVI Ili Kunyakuwa Kitabu Chako Pamoja na BONUSES zake Zote 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ NA: Kitabu unatumiwa Kwenye WhatsApp yako Ndani ya DKK 2 Tu baada ya Malipo ...na BONUSES Zote Utazipata Siku ya MASTERCLASS....(13/10) (Siku ya JUMAPILI) P.S: Kumbuka eBook Hii Inauzwa Exclusively Kwa Watu 50 Tu...(LIMITED) Nafasi 100 zikishaisha hautoona Tena Matangazo yanayohusu eBook Hii ....na Tayari Mpaka Sasa Zaidi ya 70% ya Nafasi Zimeshachukuliwa Kwahiyo: Wahi Bofya Link Hapa Chini SASAHIVI Kujinyakulia eBook Yako Mapema Kabla Nafasi 100 Hazijaisha Zote 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Well... Kabla Hujaamua Kupuuza Ujumbe Huu na Kuondoka.... Tenga Sekunde zako 60 Tu Kisha Soma Huu Ujumbe Muhimu Hapa Chini 👇 P. P. S: "Bei ya eBook Hii Mpya ya $1M CONVO ni Tshs 30,000 Tu... ...Hiyo ni Sawa Kabisa na Pea Moja ya Jeans Pale Mtaa wa Kongo Kariakoo ILA: ...Kitu Kimoja Kuhusu Jeans ni Kwamba Utaivaa, Itapauka, itaisha na utaitupa Siku Moja ...ila Ujuzi unaoenda Kujifunza Ndani ya Kitabu utakukutengenezea Pesa Milele Hembu Nambie: Ni Maamuzi Gani Sahihi Kwako?... Kununua Jeans Ambayo Utaivaa na kuitupa Siku Moja... Au: Kununua Kitabu Hiki Ambacho Kitakupa Ujuzi wa Kutengeneza Pesa na Kuwa Huru Milele Chaguo ni Lako Rafiki yangu! ILA: ...kama Utafanya Maamuzi Sahihi basi BOFYA link Hapa Chini 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Ciao! Amosi Nyanda!
Jana Jioni Mida ya 4:17pm ...Wakati naperuzi Instagram Nikakutana na Matangazo Mawili ya Watu Tofauti ILA: ...yote yalikuwa yanauza Bidhaa ya Aina MOJA nayo ni: "Tiba Ya Vidonda Vya Tumbo" Kwa Wateja wale wale...na Bei Ile Ile Na Kila Tangazo Lilikuwa na OFFER Inayosomeka Hivi: Offer "A" "Dawa Hii Inatibu Vidonda Vya Tumbo Wahi OFA Yako Sasahivi Blah...blah...blah" Offer "B" "Tiba Hii ya Vidonda Vya inaitwa "KAUSHA" ...ni Maalumu Kwa wale Tu wanaosumbuliwa na Vidonda Vya Tumbo Sugu! ...inaenda kutibu na kukausha Vidonda Sugu Ndani ya Siku 29 Tu...(Hata kama umeshatumia Kila Dawa na imeshindikana) Blah..blah...blah... Kama Kweli unasumbuliwa na Vidonda Vya Tumbo ungevutiwa na OFFER Ipi... "A au B?" Nina Uhakika Utawahi Kulipia "Offer B" Kwanini?... Well... Kuna SIRI Kuu 2: 1). Offer yenye JINA Ina Thamani Kubwa Mbele ya Mteja Kuliko Offer Ambayo Haina Jina (Hii inaitwa KAUSHA) ....ukiipa Offer Yako Jina Maalumu Tayari Utakuwa umeshajitoa Automatically Kwenye Ushindani Kwanini?... ... Kwasababu Wateja watajua Kabisa Hawawezi Kupata Tiba kama Yako Popote Ndio Maana umeipa Jina Maalumu Kwahiyo: Offer Yako itaongezeka Thamani X 10 Zaidi Mbele ya macho ya Wateja wako kama utaipa Jina Maalumu 2). Siri ya Pili na Kubwa Zaidi ni Hii niliyokuwekea Katika Page # 25 Mwa eBook Mpya inayoitwa: "$1M CONVO" (Hint: imetumika Kwenye Offer B ila Huwezi Kugundua kama Huijui) Ukweli ni Kwamba: Ukitumia Siri Hizi Mbili Pekee Kwenye Offer yako Utakuwa na 99% ya Kuuza Bidhaa Yako Katika Soko Lolote... ...na hautawaza Kabisa Kuhusu Ushindani Milele I hope Umejifunza Kitu! By the way Nafasi Zinaendelea Kunyakuliwa na Muda wa OFA ya Kupata eBook Mpya Ya "$1M CONVO" unakaribia Kuisha ... kwani Mwisho wa Kulipia ni JUMAMOSI Hii na Nafasi Zilizotolewa ni 100 Tu...(LIMITED) Kwahiyo: Kama Bado hujanyakuwa Kitabu Chako Bofya Link Hapa Chini SASAHIVI Kisha Soma Mpaka Mwisho 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Baada ya Kubofya Hiyo Link Utapelekwa Moja Kwa Moja Kwenye Landing page yenye Maelezo yote na Jinsi ya Kulipia na Kupata Kitabu Chako Ndani ya DKK 2 Tu Kwenye WhatsApp yako ...pamoja na BONUSES Zote Unazoenda kuzipata ikiwemo FREE Exclusive MASTERCLASS ya Jumapili...(13/10) Kitabu kimeandikwa Kwa Lugha ya Kiswahili na kina Pages 55 Tu...Unaweza kukisoma Ndani ya DKK 45 ukamaliza So Wahi Bofya Link Hapa Chini SASAHIVI Ili Kuchukua Nafasi Yako Mapema Kabla Hazijaisha👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ P. S: Kumbuka Nafasi ni 100 Tu...(LIMITED) na Zinaendelea Kunyakuliwa Kwa KASI Mno! ...so Wahi Ingia Hapa Chini SASAHIVI 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Uwe na Siku Njema Ciao! . Amosi "$1M Convo" Nyanda!
Je Ungeingia Wapi?... Tusema umeenda Kutembea mjini... ... baada ya Muda njaa ikawa inakuuma Kutupa Jicho kushoto Kwako... ...ukaona Restaurant 2! Na restaurant zote zinauza Chakula kinachofanana -Menu ya Vyakula inafanana -Wali nyama Upo kote kote -Michemsho kote Ipo Kwa kifupi ni Kwamba: Kila Kitu Kinafanana: LAKINI: Kuna Utofauti Mmoja Mkubwa unaonekana Sehemu ya Kuingilia... Kila Restaurant imeweka BANGO lake pale Juu Mlangoni NA: Kila BANGO Linasomeka Hivi: Restaurant "A" "Chakula Kipo, Karibuni Sana" Restaurant "B" "Chakula Kipo, Karibu Nunua Chochote Kabla ya 5:00pm Upate Maji Makubwa BURE" Hembu kuwa Mkweli... Ungeingia Restaurant A au B?.... Ofcourse Hata Kichaa angaingia Restaurant B Kwanini?... Kwasababu ya Kitu Hiki KIMOJA Tu... "OFFER" Na Hiki Ndicho kinachotokea Katika Biashara Nyingi ... Mtandaoni na nje ya Mtandao! Hata Siku Moja Huwezi kushindana na Mtu anayejua Kutengeneza OFFER katika Biashara yake ...na Ndio njia pekee ya Kuua Ushindani bila Kushindana Sasahivi Biashara Nyingi zinaigana karibia Kwenye Kila Kitu ILA: . Kuna Kitu KIMOJA Tu ambacho hakuna Mshindani anayeweza Kuiga Wala Kukopi Kutoka Kwako Nacho ni: "Uwezo Wako wa Kutengeneza OFFER" ...na Uhitaji Kuwa na Degree Wala Masters Ili Utengeneze OFFER itakayokutengenezea Pesa Nyingi Katika Biashara Yako . Kitu pekee unachotakiwa Kufanya ni: . "Kukopi na Kupesti Hii FORMULA niliyokuwekea Katika Page # 40 Mwa eBook yangu Mpya inayoitwa "$1M CONVO" Kama Bado Hujapata eBook Yako...basi wahi Bofya Link Hapa Chini SASAHIVI Kabla Nafasi Hazijaisha 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ NA: ...kama unavyojua eBook Hii inauzwa Exclusive Kwa Watu 100...(LIMITED) MASTERCLASS yake Itafanyika Online Live Siku ya JUMAPILI...(13/10) ...na ITAREKODIWA! Nitachambua Kwa Kina Siri Zote Muhimu za Kwenye Kitabu na Kujibu Maswali Yako yote So Wahi Nyakuwa Kitabu Chako SASAHIVI Hapa 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Mwisho wa Kulipia ni JUMAMOSI...(11:59pm) ...ila Nafasi 100 zikiisha nasimamisha Link ya Kununua Kitabu Muda Huo Huo Uwe na Siku Njema See you soon! Amosi Nyanda!
Nyakuwa Hizi BONASI Zenye Thamani ya Tshs 861,789 BURE! So juzi niliitambulisha Kwako eBook yangu Mpya inayoitwa: "$1M CONVO" Ni eBook yenye Mkusanyiko wa Siri Zote Nzito Nilizotumia Zaidi ya Tshs 39.7M Kujifunza Kwa Miaka 5 zinazohusu: 1). Biashara 2). Copywriting 3). Offers 4). Mauzo 5). Masoko Nk... ...na nje ya Kupata Kitabu Utapata na Hizi BONUSES Hapa Chini BURE Kabisa: "1). Utaingia BURE Kwenye Exclusive Masterclass inayoitwa "$1M Masterclass" ... Masterclass Hii ni Maalumu Kwa wale Tu watakaopata Kitabu Ambapo nitachambua na kuelezea Kila Point iloyopo Kwenye Kitabu Pamoja na Kujibu Maswali yote Live (Kwahiyo kama hupendi Kusoma Bado Utajifunza Kupitia Masterclass Hii) 2). Nitakupa BURE PDF yenye Mkusanyiko wa Formulas zote za Kuuza Bidhaa Za: -Afya -Urembo -Viwanja -Usafi -Supplements za Network Marketing -Vitabu -eBooks & Courses nk ... Huwa naiita "$1M Funnels"....(nilinunua Tshs 367,789) 3). Nitakupa Link ya Website ya Siri ya Kupata AUDIENCE waliofichika wa Kuwatumia Kwenye Matangazo Yako ya Kulipia Facebook & Instagram Ambao Washindani wako hawatakaa Wajue...(nililipia Tshs 237,000 Kupata Access yake) Sio Hivyo Tu: PIA: 4). Nitakupa BURE RECORDED Masterclass ya Jinsi ya Kuandika Copy Pamoja na Kutengeneza Landing page...(Hii itauzwa Tshs 150K kama Kozi) Sitaishia Hapo: Bado Pia... 5). Nitakupa BURE PDF inayoitwa "Facebook Appeal Templates"...(nilinunua Tshs 107K) ...Hizi ni Scripts 9 za Siri za Kuwatumia Meta Ili wakufumgulie Akaunti Yako ya Facebook & Instagram Ndani ya Masaa 24 Tu...(Hata kama ilikuwa Permanently DISABLED) Kwahiyo: BOFYA link Hapa Chini SASAHIVI Ili Kunyakuwa Kitabu Chako Pamoja na BONUSES zake Zote 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ NA: Kitabu unatumiwa Kwenye WhatsApp yako Ndani ya DKK 2 Tu baada ya Malipo ...na BONUSES Zote Utazipata Siku ya MASTERCLASS....(13/10) (JUMAPILI Ijayo) P.S: eBook Hii Nimepanga Kuiuza Exclusively Kwa Watu 50 Tu...(LIMITED) Nafasi 50 zikishaisha hautoona Tena Matangazo yanayohusu eBook Hii Kwahiyo: Wahi Bofya Link Hapa Chini SASAHIVI Kujinyakulia eBook Yako Mapema Kabla Nafasi 50 Hazijaisha Zote 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ See you soon Uwe na weekend Njema! Ciao Amosi Nyanda!
Story Ya Kutisha Ya Mwanamke Aliyeponea Chupu Chupu Kupoteza Zaidi Ya $300M Ndani Ya Siku Moja… …jina lake ni “Tong Wenhang” Alipokuwa na miaka 30 aliomba Kazi Katika Kampuni ya “Alibaba” LAKINI: …kulikuwa na Tatizo Moja! Hakuwa na Vigezo Kabisa vya Kazi aliyoomba—(namaanisha Ujuzi wala Uzoefu) …alikuwa anakataliwa kwenye Kila Kazi aliyokuwa anaomba! Lakini: Tong Wenhang hakukata tamaa Kabisa… …aliendelea kujaribu kuomba nafasi mbali mbali ndani ya Kampuni ya Alibaba Kwasababu: ...Hakuna na Kazi yoyote…na ndoto yake Kubwa Ilikuwa ni Kufanya Kazi Alibaba! Siku moja aliamua Kuacha kabisa kuomba Kazi za ngazi ya juu Pale Alibaba …kwasababu Kila Kazi ya Juu aliyokuwa anaomba Alikuwa anaikosa! Akaamua kuomba Kazi ya chini kabisa …akaomba Kazi ya “RECEPTIONIST” Yaani mtu wa Mapokezi! Awamu Hii akapata Kazi! ILA: Baada ya kufanya kazi kwa Siku chache Tu… …akaichoka na akataka kuacha kwasababu Alikuwa hapendi kupelekeshwa Lakini: …kuna kitu KIMOJA kilitokea ambacho kilimfanya asiache ile Kazi Kitu gani?… Well...Hiki hapa chini… “Jack Ma, Mmiliki wa Alibaba aligawa Hisa kwa wafanyakazi wake wote… …na Tong Wenhang alipata 0.2% ya Hisa za Alibaba Jack Ma akamwambia Tong Kampuni ikienda Public hiyo 0.2% ya Hisa zake zitakuwa Sawa NA: “$100Million” …YES…Dola Milioni Mia za Kimarekani Tong akaendelea Kusubiri kwa Miaka Kadhaa ili Kampuni iende Public apate Pesa zake …lakini Kukawa kimya! 2004 akamuuliza Jack Ma—Kampuni inaenda lini Public? Jack Ma akajibu... . “Hivi Karibuni” 2006, Miaka miwili baadae akamuuliza Tena Jack Ma, Akajibu tena... “ Hivi Karibuni” Akaendelea kusubiri kwa Miaka Kadhaa na Kila anapomuuliza Jack Ma—Jibu lake ni lile lile… …”Hivi Karibuni” Hatimaye September 2014, Alibaba ilipoenda Public Thamani ya Kampuni ilikuwa ni Sawa Na: "$25 Billion” NA: …Mwanzo walipofanya Hesabu ile 0.2% ya Share za Tong Wenhang zilikadiriwa Kuwa na Thamani ya $100M ... ila sasa Zikawa na Thamani Ya: “$300 Million” …hiyo ni Mara 3 zaidi ya Thamani iliyokadiriwa mwanzo “Na Hiyo ni Ndani ya Siku Moja” Sasahivi Tong Wenhang ni Bilionea… ...na ni Makamu wa Raisi wa Kampuni ya Alibaba …hiyo Ndio Nguvu ya KUSUBIRI na TAARIFA Sahihi! Utofauti Kati ya Matajiri na Masikini Upo Kwenye: “SUBIRA & TAARIFA” Matajiri huwa wanashinda kwasababu wanacheza Michezo ya Muda Mrefu—Tofauti Kabisa na Masikini NA: Maneno yanayowapa MAMILIONI ya Pesa Matajiri Katika Biashara zao ni Haya Hapa Mawili niliyoyaweka Katika Page # 3 Mwa eBook Mpya ya “$1M CONVO” Na Kama Bado Hujapata eBook yako Pamoja na BONUSES zake ikiwemo FREE Masterclass ya 13/10 ….basi wahi BOFYA Link Hapa chini Kisha Soma Mpaka Mwisho 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ P. S: Kumbuka eBook Hii inauzwa EXCLUSIVELY kwa watu 100 Tu! …eBook Ina Pages 55 Tu unaweza kuzisoma na Kumaliza leo leo jioni Wahi Nyakuwa Kitabu chako SASAHIVI Hapa Chini 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Uwe na jioni Njema! Voila Amosi Nyanda!
Nilianza Rasmi Kufanya Biashara Mtandaoni Mwaka 2019... Hiyo ni Miaka 5 ya Jasho na damu... NA: ...Mwezi wa 7 niliamua kukaa Chini na Kufanya Hesabu ya Pesa zote nilizotumia Kwenye Kununua: -Vitabu -Courses -Coaching -Masterclasses Na -Mentorships ...Kutoka Kwa Wataalamu Mbali Mbali Duniani kote Imekuja Jumla ya: "T͟s͟h͟s͟ ͟3͟9͟,͟7͟6͟9͟,͟5͟6͟0͟ "YES...ni Tshs 39.7M" ...Ndani ya Miaka 5! Kwahiyo: Ili kukuepusha na Msoto wa Miaka 5 Pamoja na Kupoteza Zaidi ya Tshs 39.7M Kwenye Kujifunza Vitu Nilivyojifunza Mimi ...nimeamua Kukusanya SIRI Zote Nzito Ambazo WATAALAMU Wengi hawataki uzijue Kuhusu: 1). Biashara . 2). Copywriting . 3). Closing . 4). Offers . 4). Marketing & Pesa ...na Kukuwekea Zote Kwenye eBook Hii MPYA inayoitwa: "$͟1͟M͟ ͟C͟O͟N͟V͟O͟ (Imeandikwa Kwa Kiswahili) NA: Nimepanga Kuiuza Exclusively Kwa Watu 100 Tu Na hiyo Ndio Itakuwa ZAWADI yangu Kwako Kwa Ajili ya Mwaka Mpya! Unaweza Kuwahi Kuipata Mapema na Kuisoma Kwa Kubofya Link Hapa Chini SASAHIVI 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Baada ya Kubofya Hiyo Link Hakikisha Unasoma Mpaka Mwisho Ili Kupata Utaratibu wa Kuipata Pamoja na BONUSES zake Zote P. S: eBook Hii Ina Pages 55 Tu Unaweza Kuisoma na Kuimaliza Hata Leo Usiku baada ya Chakula Cha Usiku ...Wahi Bofya Link Hapa Chini Kujinyakulia eBook Yako Mapema Kabla Nafasi 100 Hazijaisha 👇 >>>https://amosinyanda.lpages.co/1m-convo/ Uwe na Jioni Njema! See you soon Voila! Amosi Nyanda!
Je Lengo La ADUI Yako ni Lipi?... . Nitakwambia Hapa Chini: . Lengo la Adui Huwa ni MOJA Tu.... . "Ni Kukufanya Uwe Mjinga Kuhusu Vitu Vitakavyobadilisha Maisha Yako" . Na Hivi ndivyo inavyokuwa: . Ukishagundua Vitu Vya Kufanya Ili Kubadilisha Maisha Yako...yeye anahakikisha Huchukui Hatua Kabisa . ...Yaani Unaghairisha Mambo Bila Sababu! . Ukifanikiwa Kuchukua Hatua Kwenye hivyo Vitu... Kazi yake inabaki kuhakikisha Haufanyi hicho Kitu Kila Siku Ili Kupata Matokeo . Je Anawezaje Kufanya Hivyo?... . Nimefurahi Umeuliza! . Na Hivi ndivyo inavyokuwa: . -Anakuweka Busy na Simu, Mitandao ya Kijamii, Habari, Movies nk . -Kukutia Uvivu na kukuondolea Mood ya Kufanya Kazi . -Kukutia wasi wasi na kutojiamini Kwenye Chochote unachokifanya . -Kudhoofisha Uwezo wako wa Kuchukua Hatua Kwa kukuonesha Vitu kama Video za ngono, Punyeto nk . ILA: . Ukweli ni Kwamba: . "Kama utafanikiwa Kufanya Vitu Sahihi Ambavyo Vina Uwezo wa Kuyabadilisha Maisha Yako Kila Siku Bila Kuyumbishwa... . ...basi Uhakika wa Kuwa MSHINDI ni 100% . Kwanini Nakwambia yote Haya?... . Well... ukweli ni Kwamba: . Katika Kizazi Hiki Cha Internet, Mitandao ya Kijamii & Movies... . ...Bila neno hili MOJA Hapa Chini Hutoboi . "FOCUS" . Bila FOCUS Kila Kitu utakifanya Nusu Nusu... . Siku zitasogea... . Miezi itaisha.. . ...na hatimaye Miaka . Unajikuta upo pale pale Unafanya Vitu Vile vile . Inafika December unakuta Malengo yote ulioyaandika January hujatimiza Hata Moja . Unapaniki... . Unaanza Kulaumu Kila Mtu na kuita Watu FAKE friends . Unajipa Moyo Tena Kwa kujiambia... . "Huu Mwaka ni Wangu" . Unaweka kabisa na ule wimbo wa Dayoo... Unaoitwa "Mwaka wa Kufosi" . LAKINI: . Unaanza Mwaka Kwa Speed ya Hatari... . Mwezi wa 1, 2, 3.... . Speed inaanza kupungua Tena . Mwishowe unarudi kwenye Duara lile lile la Mwaka Jana . Message yangu Leo Kwako ni Hii Hapa Chini: . "FOCUS, FOCUS, FOCUS" . Focus na Vitu vile Tu Vinavyoongeza Thamani Kwenye Maisha Yako na kukusogeza Karibu na Malengo Yako . Na Leo ni 01.10. 2024 . Bado Miezi 2 Tu Mwaka Uishe . Je Mpaka Sasa Malengo yako Uliyoyaandika January yameshatimia Kwa % Ngapi? . Majibu Unayo Mwenyewe . Just FOCUS my Friend! . Kaa Mbali Kabisa na DISTRACTIONS . Muda hausubiri na Umri unaenda . Ni hayo Tu Kwa Leo . Happy NEW Month Champions . P.S: By the Nimerudi nilipotea kidogo Ila Habari njema ni Kwamba: . ... nilipotea Kwa Ajili Yako Kwasababu nilikuwa Nakusanya Siri Zote Nzito nilizojifunza Ndani ya Miaka 5 Kuhusu Copywriting, Business, Offers, Marketing, Sales & Pesa . ...na Kila Kitu nimekiweka Kwenye eBook yangu Mpya yenye Pages 55 inaitwa "$1M CONVO" . Inatoka Rasmi Kesho na Itauzwa Kwa Watu 100 Tu . Utaratibu wa Jinsi ya Kuipata Nitautoa Kesho! . Ciao! . Amosi Nyanda!
So Leo Nataka Tuongee Kuhusu: W͟h͟a͟t͟s͟A͟p͟p͟ ͟M͟A͟R͟K͟E͟T͟I͟N͟G͟ 1). Je WhatsApp Marketing ni Nini? 2). Je Unawezaje Kutengeneza Pesa Kupitia WhatsApp Marketing? Well: Ndani ya Sekunde 60 zijazo utaenda Kupata Majibu yote ya hayo Maswali Mawili hapo juu... . WhatsApp Marketing-ni Ujuzi wa Kutangaza na Kuuza Bidhaa/huduma kupitia WhatsApp yako ya Mkononi NA: Unaweza Kutangaza na Kuuza Bidhaa yako Kwenye WhatsApp yako Kupitia Hizi Sehemu 5 Hapa Chini: 1). WhatsApp Status 2). WhatsApp Groups . 3). WhatsApp Inbox 4). WhatsApp Broadcasting Lists Na… 5). WhatsApp Channels Na Hicho Kitu Kinawezekana endapo Tu una Kitu Hiki Kimoja Kinachoitwa: "N͟A͟M͟B͟A͟ ͟Z͟A͟ ͟S͟I͟M͟U͟" YES—ili uweze Kutangaza na Kuuza Kwenye WhatsApp yako Lazima uwe na namba ya Simu... . ....ya WhatsApp ya Mtu unayetaka kumtangazia na kumuuzia Bidhaa/huduma yako NA: Siri Kubwa Zaidi ya Kuuza Kwenye WhatsApp ambayo Watu Wengi hawaijui ni Hii Hapa Chini: “Watu Watakaonunua Bidhaa/huduma yako Sio Wale Unaowajua—(a.k.a Ndugu & Marafiki) . ...Bali ni Watu USIOWAJUA utakaowapata Mtandaoni" …aidha kupitia Kwenye Matangazo ya Kulipia au Organic Contents . Je Unapataje Namba kutoka kwa Watu USIOWAJUA?… Ni rahisi sana! . “Ni Kuwapa Kitu Chenye UTHAMANI BURE” . Mfano wa Kitu chenye UTHAMANI... . ...Unachoweza kukitoa BURE ili Kupata Namba zao FREE ni Pamoja Na: -PDF Bure -Makala Bure -Free Masterclass -Free Reports -Free Samples NK… Kwahiyo: Utachagua njia unayotaka kuitumia Kutangaza na Kuuza Bidhaa yako Kwenye WhatsApp yako... . Aidha ni Kupitia: -WhatsApp Status -WhatsApp Groups -WhatsApp inbox -WhatsApp Broadcasting lists au -WhatsApp channels Baada ya Hapo Unatengeneza Kitu Kinachoitwa: “F͟U͟N͟N͟E͟L͟" FUNNEL- ni Mfumo Maalumu wa kuwatoa wateja kutoka... . ...Mtandaoni Kama Facebook, Instagram, X, YouTube nk …na kuwapeleka kwenye Kijiwe chako ili Kuwabadilisha Kuwa wateja Huku ukiendelea kuwapa Thamani Katika Hatua zote Na Hivi ndivyo FUNNEL yako Itakavyoonekana: CHAMBO➡️UTHAMANI ➡️ UZA Mfano: . Kama lengo lako ni Kuja Kuuza kwenye WhatsApp Status... . ...basi Utafanya Hivi: Unatengeneza PDF Ndogo yenye Thamani kwa Walengwa Kisha Unaitangaza Mtandaoni FREE Hii tunaita CHAMBO! Baada ya hapo unaweka Link ya WhatsApp yako—Wale Wote Wenye Interest na Kile... . ...Ulichokiweka kwenye PDF yako watakuja Moja kwa moja kwenye WhatsApp yako Kabla ya Kuwatumia Waambie wa-save Namba yako nawewe una-save yake Baada ya hapo ndio unawatumia hiyo PDF Uliyoahidi Kwanini ni LAZIMA wa-save kwanza Namba Kabla hujawatumia PDF? . Ili waweze Kuona WhatsApp Status zako Baada ya hapo Anza Kutoa FREE Value kupitia Status zako Kila Siku—(Usiku ndo Muda Mzuri) Wataanza Ku-VIEW Status zako Kila Siku Then: -Watakujua Vizuri -Watakupenda na -Watakuamini Kisha: Watakuwa ADDICTED na Contents zako na watataka Kuona Status zako Kila siku Tayari una ATTENTION yako kwa 100% ...Baada ya Kupata Attention ya watu tunajua kinachofuata si Ndio? “KUUZA Bidhaa/huduma Zetu” Hii Kitaalamu inaitwa: “K͟L͟T͟B͟" (Know, Like, Trust, Buy) . NA: . Kuna Aina za CONTENTS unazotakiwa Kuzipost kwenye Status yako ili Wawe ADDICTED Kuview Kila Siku... . ...na Hapo ndipo utakapotengeneza Pesa Kirahisi . Je Pesa Zipo Wapi Sasa? . Nimefurahi umeuliza . Pesa zako zipo kwenye NAMBA za Simu za Watu USIOWAJUA . Hii Kitaalamu inaitwa: . “LIST” . Ukiwa na Namba nyingi za Simu za Watu Wenye Interest zinazofanana—Tayari una Biashara Mkononi . Nina Imani Umepata Kitu . PS: By the way Kama Unataka Kujifunza Kiundani Kuhusu "WhatsApp Marketing" Pamoja Na... . ...Kuuza na Kutangaza Biashara Yako Kupitia WhatsApp yako BOFYA link Hapa Chini Sasahivi 👇 . https://amosinyanda.lpages.co/whatsapp-mkwanja-lp . Uwe na Jioni Njema . Amosi Nyanda!
Hii Ndio Aina ya Biashara Itakayokulipa Maisha Yako Yote! . Aina ya Biashara unayoenda Kuisoma Ndani ya Muda Mfupi Ujao... . ...itakulipa Maisha Yako yote Hata kama una Miaka 97+ . Na Hii Ndio Story Fupi: . Siku Kadhaa Zilizopita Rafiki Yangu alinunua King'amuzi Kwa bei anayodhani ni "Ndogo Sana" . Wakati tunaongea akawa anasema: . Hivi Nyanda inawezekanaje Kitu kama Hiki kikauzwa Kwa Bei kitonga Kiasi Hiki?...akatikisa Kichwa . Nilishangaa Rafiki Yangu ameshindwa Kugundua Aina ya Biashara iliyofanyika pale . Ni Kweli Kampuni ya Ving'amuzi ilimuuzia King'amuzi Kwa bei ya HASARA Sana . ... Nina Uhakika hawakutengeneza FAIDA yoyote Ile . Kwanini?... . Jibu ni Rahisi Tu Kwamba: . Ni Kwasababu Wanatumia Aina Hii ya Biashara unayoenda Kuisoma Ndani ya Sekunde 60 Zijazo . ... Kwahiyo utaweza Kuuza Bidhaa/Huduma yako Hata Kwa HASARA na bado Ukatengeneza FAIDA Kubwa baadae . Na Hivi ndivyo inavyofanya Kazi: . Kampuni ya King'amuzi ita-cover Gharama zake Zote Kutokana na Malipo atakayokuwa Anafanya Mteja Kila Mwezi . Mpaka Sasa najua Tayari Utakuwa umeshajua naongelea Biashara Gani...(Wewe una Akili) . Aina Hii ya Biashara inaitwa: . S͟U͟B͟S͟C͟R͟I͟P͟T͟I͟O͟N͟ ͟B͟U͟S͟I͟N͟E͟S͟S͟ ͟M͟O͟D͟E͟L͟ . Na: . Mfano wa Aina Hii ya Biashara ni: . -DSTV . -Azam Tv . -Netflix . -Makampuni ya Simu kama...(Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel Nk) . Software Companies Nk! . Pesa za Aina Hii Zinaitwa: . "͟W͟a͟t͟e͟r͟ ͟M͟o͟n͟e͟y͟"͟...(a.k.a Pesa Maji) . Maana yake ni Pesa Zinazotiririka kila Mwezi . Jinsi ya Kufanya Aina Hii ya Biashara ni Rahisi Sana . Fanya Hivi: . 1). Fungua Biashara . 2). Tatua Tatizo Fulani Kwa Watu . 3). Wafanye Hao Watu wakulipe Kila Mwezi Kwa Kutumia Bidhaa/Huduma yako . Then Booom Voila! . Tayari Utakuwa umeshatengeneza Aina ya Biashara inayoitwa: . "S͟u͟b͟s͟c͟r͟i͟p͟t͟i͟o͟n͟ ͟B͟u͟s͟i͟n͟e͟s͟s͟ ͟M͟o͟d͟e͟l͟"͟ . Kila Biashara inaweza Kugeuzwa Kuwa Subscription Business kama utawaza Kwa Kina . Je Unawezaje Kuigeuza Biashara Yako Kuwa Subscription Business? . Waza Kuhusu Hilo . Hiyo ni Homework nakuachia! . Nina Imani itasaidia . Ciao! . Amosi Nyanda!