tgindex
Udakutz

Habari Moto Moto

Последний пост
22 дек. 2023 г.
Последнее чтение
15 авг.
Постов за неделю
0
Всего постов
20
Тип
открытый
Язык
ig
В каталоге с
14 авг.
Подписчики
655
мало замеров
Замеров пока мало
Сутки
0
0,00%
Неделя
 
Месяц
 
Просмотров на пост
12,2 тыс
20 постов
Вовлечённость
1861,4%
к подписчикам
Постов в день
0,0
всего 20
Упоминаний
0
каналов
Охват размещения
оценка
1/24сутки в ленте
1/48двое суток
1/72трое суток

Оценка по просмотрам недавних постов: пост набирает почти всё за первые сутки.

Посты

  • The owner of this channel has been inactive for the last 5 months. If they remain inactive for the next 8 days, they may lose their account and admin rights in this channel. The contents of the channel will remain accessible for all users.

  • The owner of this channel has been inactive for the last 5 months. If they remain inactive for the next 18 days, they may lose their account and admin rights in this channel. The contents of the channel will remain accessible for all users.

  • без подписи

  • 31 авг. 2022 г.21,7 тыс4

    без подписи

  • 5 янв. 2022 г.21,1 тыс4

    без подписи

  • 27 авг. 2020 г.27,5 тыс1из JamiiForums

    UCHEBE AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA SHILOLE > Ashiraf Geuza (Uchebe) amefikishwa Mahakama ya Kinondoni kwa kosa la kumjeruhi Zuwena Mohamed (Shilole) na kumsababishia maumivu Julai 6, 2020 maeneo ya Ada Estate Kinondoni Soma - https://jamii.app/UchebeKizimbani

  • 26 авг. 2020 г.24,3 тыс1из JamiiForums

    NEC: MAPINGAMIZI YA LISSU HAYANA MSINGI WA KISHERIA - Tume ya Uchaguzi (NEC) imesema ilipokea mapingamizi ya Tundu Lissu (CHADEMA) dhidi ya Wagombea wenzake, Dkt. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF) - Baada ya kupitia mapingamizi hayo na Utetezi uliotolewa, NEC imesema waliowekewa mapingamizi ni Wagombea halali Soma https://youtu.be/3ST-kGCcMUs #Uchaguzi2020

  • 19 июн. 2020 г.19,5 тысиз JamiiForums

    SPIKA NDUGAI: KUNA WABUNGE WANATUMIA BANGI NA KUNYWA GONGO > Amesema “Ni ukweli usiopingika kwamba yako mambo Watanzania hawayajui na huwa hatupendi sana kusema. Ni kweli baadhi ya Wabunge na hasa hao wenye fujo wanatumia #DawaZaKulevya, bangi, wanakunywa konyagi au gongo, anakuja pale sio yeye” Soma - https://jamii.app/WabungeBangi

  • 18 июн. 2020 г.16,8 тысиз JamiiForums

    WADHAMINI WAIOMBA MAHAKAMA ITOE HATI YA KUMKAMATA TUNDU LISSU > Mahakama ya Kisutu, imetoa siku 7 kwa upande wa Jamhuri kuwasilisha majibu ya kiapo kinzani na maombi ya wadhamini hao > Wadhamini wamefungua maombi wakiiomba Mahakama itoe hati ya kumkamata kwani wameshindwa kumpata na kumfikisha Mahakamani Soma https://jamii.app/KukamatwaLissu

  • 16 июн. 2020 г.13,6 тысиз JamiiForums

    #COVID19: RAIS MAGUFULI AZUNGUMZIA WABUNGE WALIOONDOKA BUNGENI - Rais Magufuli wakati anavunja Bunge leo amewapongeza Wananchi kwa kupambana na #CoronaVirus - Pia, amewapongeza Wabunge kwa kuendela na Bunge na kusema walioondoka walionesha uoga na kutojiamini Angalia; https://youtu.be/i8fusZlszcs

  • 16 июн. 2020 г.11,3 тысиз JamiiForums

    RAIS MAGUFULI ATANGAZA KUFUNGUA SHULE ZOTE JUNI 29 - Amesema hali ya #Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana - Amesema shughuli nyingine zote kama kufunga ndoa nazo ziendelee. Maisha lazima yarudi kama ilivyokuwa zamani Zaidi, soma https://jamii.app/KuvunjaBunge11 #JPMBunge11

  • 15 июн. 2020 г.9 473из JamiiForums

    MWANAMUZIKI HARMONIZE KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA TANDAHIMBA > Mwanamuziki Rajab Abdul maarufu Harmonize, amesema ana mpango wa kugombea Ubunge katika Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara, miezi kadhaa baada ya Rais Magufuli kupendekeza afanye hivyo Soma - https://jamii.app/HarmonizeUbunge

  • 15 июн. 2020 г.8 000из JamiiForums

    #CORONAVIRUS: UFARANSA KULEGEZA MASHARTI ZAIDI KUANZIA LEO - Safari za nchi nyingine za Ulaya zitaruhusiwa. Migahawa na hoteli nchi nzima zitafunguliwa - Hata hivyo, Rais Emmanuel Macron ameonya kuna uwezekano ugonjwa utarejea Soma https://jamii.app/COVID19Updates #JFCOVID19_Updates

  • 12 июн. 2020 г.6 752из JamiiForums

    POLISI: MBOWE ALIFIKA HOSPITALINI AKIONEKANA KUWA KATIKA HALI YA ULEVI CHAKARI > Polisi wameeleza kuwa hakuna shahidi yeyote aliyesikia kelele wala kuona Mbowe akishambuliwa > Mbowe alidai kuvamiwa na watu watatu alipokuwa akiingia nyumbani kwake wakati akitokea kwa mzazi mwenzake, Joyce Mukya, Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Zaidi; https://youtu.be/BD8ixLNrO-s

  • 11 июн. 2020 г.11,9 тысиз Eminemtips1

    Chokoleti (Chocolate) ina kiwango kikubwa cha kemikali aina ya Theobromine & Phenylethylamine ambazo husaidia kuongeza hamu ya kufanya mapenzi. #Fahamuzaidi

  • 11 июн. 2020 г.12,5 тысиз JamiiForums

    RAIS MAGUFULI: KAZI HII NI NGUMU, INA MATESO SANA - Amewaomba Watanzania wamuombee ili asije kuwa na kiburi au jeuri bali awe kiongozi wa kweli asiyebagua - Pia, akatimize wajibu wake katika kipindi kilichopangwa Kikatiba ili kusudi baada ya hapo awaachie wengine ambapo pia watatimiza wajibu wao Zaidi; https://youtu.be/sXisHOi1YVU

  • 11 июн. 2020 г.4 340из JamiiForums

    WABUNGE WA CHADEMA WAANZA KUHOJIWA NA PCCB > Wabunge wa CHADEMA leo wameanza kuwasili katika ofisi za TAKUKURU jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa > Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) amekuwa wa kwanza kufika > TAKUKURU ilisema itawahoji wabunge 69 wa chama hicho kufuatia malalamiko juu ya matumizi ya fedha za makato katika mishahara

  • 6 июн. 2020 г.4 073из JamiiForums

    Rais Magufuli asema Serikali inafikiria kuzifungua shule za sekondari, msingi na awali baada ya kuridhika na mwenendo wa ugonjwa wa corona nchini

  • 5 июн. 2020 г.3 972из JamiiForums

    WAZIRI HASUNGA: KINACHOFANYIKA HADI SUKARI INAADIMIKA NI UHUNI - Asema Serikali haifahamu kwanini sukari imeendelea kuadimika kwa baadhi ya maeneo kwani ipo nyingi nchini - Mkakati wa kusaka inapofichwa bidhaa hiyo utaanzia Dar Jumatatu ijayo Soma https://jamii.app/UhabaSukariTZ

  • 2 июн. 2020 г.3 830из JamiiForums

    DIAMOND PLATNUMZ ANG'ARA KWENYE JARIDA LA BILLBOARD > Meneja wa 'YouTube Music Trends', Kevin Meenan amesema amevutiwa sana na Mbinu pamoja na Ubunifu anaoutumia Msanii huyo wa Bongo Fleva kwenye chaneli yake ya YouTube > Diamond ana 'Subscribers' millioni 3.6 na zaidi ya 'views' millioni 980 huku 80% ya watamazaji wakiwa wanatokea nje ya Tanzania tangu Mei 1, 2019 hadi Mei 1, 2020 Soma - https://jamii.app/DiamondBillboard