tgindex
JamiiForums

Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower

Последний пост
14 авг.
Последнее чтение
15 авг.
Постов за неделю
60
Всего постов
480
Тип
открытый
Язык
ny
Категория
Новости и СМИ (по похожим)
В каталоге с
12 авг.
Подписчики
26 504
−187 за 5 дн.
Сутки
−31
−0,12%
Неделя
 
Месяц
 
Просмотров на пост
80
40 постов
Вовлечённость
0,3%
к подписчикам
Постов в день
8,6
всего 480
Упоминаний
1
каналов
Охват размещения
по 14 постам
1/24сутки в ленте
134
1/48двое суток
153
1/72трое суток
165

Медиана по постам, которые мы застали свежими и померили через сутки.

Посты

  • без подписи

  • без подписи

  • DAR: Jeshi la Polisi lilisema linawashikilia Askari watatu wa uhifadhi kwa ajili ya uchunguzi zaidi kutokana na kifo cha Sefu Mussa (25) na kujeruhiwa kwa Salimu Haji Chambega. Upande wa ACT imesema, "Tunatoa pole kwa familia ya marehemu, tunamtakia aliyejeruhiwa kupona, tunasimama na Wananchi wanaodai haki, uwajibikaji na utawala wa Sheria." Mdau, una maoni gani? Fuatilia zaidi https://jamii.app/NtobiKijajiKujiuzulu #JamiiForums #Uwajibikaji #HakiZaBinadamu

  • DAR: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanataaluma ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Profesa Elgidius Ichumbaki ameyasema hayo Agosti 14, 2026 wakati akizungumza katika mjadala wa kumkumbuka mwanazuoni Chachage Chachage. Zaidi https://jamii.app/UDASAUhuruMaoni #JamiiForums #Uwajibikaji #HakiZaBinadamu #JFDemokrasia

  • без подписи

  • DAR: Jeshi la Polisi limetoa Taarifa leo Agosti 14, 2026 kuwa linamshikilia na kumhoji Wakili Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), iliyotolewa na Mahakama Julai 27, 2026 na Agosti 13, 2026. Awali, Madeleka ambaye ni Wakili wa Kujitegemea aliripotiwa kukamatwa na Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari Polisi na kuchukua vitu vyake ikiwemo gari, fedha pamoja na nyaraka alizokuwa nazo. Zaidi tembelea https://jamii.app/PolisiMadeleka #JamiiForums #Utawala #HakiZaBinadamu

  • без подписи

  • ZAMBIA: Tume ya Uchaguzi imesitisha zoezi la kuhesabu kura za Urais kutokana na kuelezwa kuwa kuna vurugu, vitisho na vitendo vya wizi wa kura vilivyojitokeza, hivyo itapitia uamuzi huo baada ya Saa 24. Mara baada ya uamuzi huo, Kiongozi wa upinzani Brian Mundubile ambaye anachuana na Rais wa sasa Hakainde, amedai kuwa ameshinda na kuwa kucheleweshwa kwa zoezi la kuhesabu kura kunatoa mwanya wa kuchakachua matokeo. Zaidi tembelea https://jamii.app/ZambiaStpVtCntng #JamiiForums #Demokrasia #JFDemocracy #AfricanPolitics

  • Inadaiwa kuwa tukio hilo la Wakili wa kujitegemea Peter Madeleka kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa Askari Polisi limetokea Agosti 14, 2026 alipokuwa eneo la Mahakama ya Uhujumu Uchumi, Mikocheni, Dar es Salaam. Kupitia ukurasa wa Mwanaharakati Godlisten Malisa akirejea maelezo ya Wakili Gideon Mathew ameeleza kuwa waliomkamata hawajaeleza sababu wala kituo alichopelekwa. Pia wamechukua gari, fedha na nyaraka zake. Fuatilia zaidi https://jamii.app/MadelekaKukamatwa #JamiiForums #HakiZaBinadamu #HumanRights

  • без подписи

  • Mdau, gharama za usafiri kwenda kwenye mkoa wako zipoje? Fuatilia zaidi, shiriki https://jamii.app/NauliZanzibar #JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026

  • без подписи

  • без подписи

  • Mamlaka ya Kudhibiti Vyakula na Dawa Rwanda (FDA) ilizuia vinywaji aina 52 kwa madai ya kutokuwa na ubora ikiwemo kutoka Tanzania, Kenya na Uganda. Agosti 7, 2026, TBS ilitoa taarifa rasmi kuwa inafuatilia suala hilo. Wakati huohuo Agosti 13, 2025, Mdau wa JamiiForums.com aliandika, “Marufuku ya Pombe zisizo na Ubora Rwanda: TBS imelala wakati Watanzania wanaweza kuwa wanapata Upofu na Kufa kimya kimya?” Fuatilia zaidi https://jamii.app/TamkoLaTBS #JamiiForums #PublicHealth #JFAfya #Diplomacy

  • без подписи

  • без подписи

  • без подписи

  • Mtag hapa, mwambie atachelewa mpaka Mbinguni!😂 Mjadala unaendelea https://jamii.app/RafikiMchelewaji #JamiiForums #Maisha

  • 14 авг.9удалён 14 авг.

    Mdau, ukiambiwa ujitetee kwa kutumia Lugha ya Kiingereza utatoboa? Zaidi https://jamii.app/KingerezaUsahil #JamiiForums #Maisha #JFLugha

  • Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima ameyasema hayo Agosti 13, 2026 wakati akizungumza na Waandishi wa Habari. Zaidi https://jamii.app/KitimaVikosi #JamiiForums #Uwajibikaji